samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Ile timu Janja janja au maarufu kama timu manunuzi,ikiongozwa na msanii wa kimataifa mwenye mbinu za kijanja janja DIAMOND PLATNUMZ alikuwa nchini Zimbabwe (Zim) kwaajili ya shoo moja iliyofanyika juzi (ijumaa) na kuhudhuriwa na maelfu ya wazimbabwe ambao "inasemekana" kuwa DIAMOND aliwalipia kiingilio ili waonekane wengi ktk shoo yake. We unasemaje kuhusu tabia za huyu msanii za kununua mashabiki ..???