Team Janja janja, team kununua cheki ilivyowanunua Wazimbabwe

Haya ni majungu makubwa sana, kwa akiri ya kawaida tu hilo haliwezi kuwa kweli, mtu aende kutafta hela alafu awalipie mashabiki??????
Ndivyo wanavyotuambia wasanii wenzake,unataka kusema ni waongo.....??
 
Ommy dimpoz aligusa pabaya sana. Maana neno "kununua" bado linashika hatamu kwa wale walioguswa hahahhahaahaha. # kununua views#
Aligusa pabaya au alisema ukweli, we uoni hao mashabiki jinsi walivyo wengi na jinsi wanavyomshangilia kwa akili ya kawaida MOND anaweza kupata nyomi hilo bila ya kuwanunua .......... kama haitoshi safari hii kawanunua hadi waandishi wa habari.
 
Kilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
Hii sasa sifa
 
Back
Top Bottom