BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,316
Duuh
Wivu unawasumbua acha wakalie maneno mwanzao anapiga pesaNdivyo wanavyotuambia wasanii wenzake,unataka kusema ni waongo.....??
Wivu ni shidaaateh teh hao wote kawanunua na hata kushangilia aliwalipa.....
Aligusa pabaya au alisema ukweli, we uoni hao mashabiki jinsi walivyo wengi na jinsi wanavyomshangilia kwa akili ya kawaida MOND anaweza kupata nyomi hilo bila ya kuwanunua .......... kama haitoshi safari hii kawanunua hadi waandishi wa habari.Ommy dimpoz aligusa pabaya sana. Maana neno "kununua" bado linashika hatamu kwa wale walioguswa hahahhahaahaha. # kununua views#
Hii sasa sifaKilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
Mondi Zimbabwe amelipwa dollar laki mbili
Jamaa anapiga hela zimbambwe...mwingne yupo Serengeti anachunga tembo...kweli bushman allykiba hauwezi mziki wa simba..