Kirchhoff's
Member
- Jun 1, 2015
- 19
- 0
hacrini wakuu sasa kwa mwenye uelewa anifahamishe ni vigezo gani tcu hutumia kufanya selebtion kama hivi wamemchagua jamaa PGM Petroleum engineering udom jamaa amepanic chemistry hajasoma anataka kuhama nashindwa kuelewa