TCU n HESLB(bodi ya mikopo) zote zimekaa kisiasa,wana mbwembwe nyingi ukiwasikia katika vyombo vya habari wakija katika uhalisia wa kiutendaji hakuna kitu,vyombo hivi vimeundwa ili kuwapa watu ajira za kinamnanamna, efficiency n effectivness za vyombo hivi is highly doubted