TCU wameongeza muda wa ku-apply chuo?

blues

Member
Jul 10, 2014
59
13
Jamaan samahani ni kweli tcu wameongeza muda mpaka tarehe 06/09/2014??? Je ni kweli au ni taarifa za uwongo??
 
ni kweli hata hapa mi naedit tu madude deadline ingekua tayar ucngeweza kuedit ni impossible yan
 
Sio kweli kwenye website yao sija ona taarifa yoyote ya kuwa mda wa ku apply chuo umeongezwa bado ipo ile ile ya deadline aug 31
 
Bila shaka wanasubiri wale madogo waliopo jkt waje wafanye corrections masna walipewa ile week1 wengi Kuna errors walifanya ktk ku-apply
 
Sio kweli kwenye website yao sija ona taarifa yoyote ya kuwa mda wa ku apply chuo umeongezwa bado ipo ile ile ya deadline aug 31


we unadhubutuje kusema si kweli? Wa2mie email watakujibu kinachoendelea mda wa kuaply haujafungwa japo deadline imeshapita utakapo kuta kwenye ac yako huna uwezo wa kuedit ndo watakua wamefunga! This is bongo man just chill na uinjoy maisha!
 
Jamaan samahani ni kweli tcu wameongeza muda mpaka tarehe 06/09/2014??? Je ni kweli au ni taarifa za uwongo??

sina uhakika na hizi taarifa ila na mm nimezisikia tu kama ni kweli basi tusubilie tu kwan mbali basi kesho tarehe 3 ni mwisho mwa wiki hii tu tutaona kwani njia ya waongo ni fupi sana.wahanga wa vyuo na mikopo tuwe na subira tu najua mmechoka sana kukaa nyumban toka mmlipomaliza form six.mm mbona nilivumilia xana toka mwaka jana mwez wa pili mpaka leo hatimaye siku ilifika nikaomba
 
Nyie jifanyeni wajuaji medit then myakoroge kabisa wakutoe kwenye system kuaply hadi next year muhimu kama mmeambiwa mwisho ni 31 agst basi eleweni hivyo otherwise mpate offical statement from TCU..

Talk from my experince
 
Lakini jamani inamaana kwenye jukwaa hili hakuna muda mwenye taarifa sahihi kuhusu hili swala! Kama kweli muda umeongezwa kweli Tanzania ni zaidi tuijuavyo.
 
Nyie jifanyeni wajuaji medit then myakoroge kabisa wakutoe kwenye system kuaply hadi next year muhimu kama mmeambiwa mwisho ni 31 agst basi eleweni hivyo otherwise mpate offical statement from TCU..

Talk from my experince

Nuff said bro!
 
sisi wa nacte tukiingia kwenye profile zetu wanatuambia tunaweza kuedit data zetu mpaka tar 6/9/14
 
kwa watu walioomba ualim diploma udom ndo wameongezewa mpaka tar.6/9/2014
 
Jamaan samahani ni kweli tcu wameongeza muda mpaka tarehe 06/09/2014??? Je ni kweli au ni taarifa za uwongo??

ni kweli, ila kwa walioaply kutoka diploma kwa maana ya walio chini ya nacte taarifa hiyo haijawekwa kwenye website yao ila ukilog in CAS kama ulikua tayari umeshakamilisha application itakwambia hivi "
Congratulation for successfully completed online admission into Bachelor Degree Programmes in Tanzania.
At any time before 06/09/2014 You can modify your choices by clicking Profile link found on navigation bar above this page.
To view your application details (Basic details, Qualifications and Chosen Programme(s)) click Profile link.
You will be notified for any updates via your email address."
 
Back
Top Bottom