weeee acha kupotosha watu!!! mwisho ni 4/9 au 12/8... unachezea watu eeehh!!!??Ikiwa ndo hivyo kunauwezekano wa mpaka mwezi wa 9 mwishoni maana kwa walio miss info mwisho wa kurekebisha n 4/9
kwa anayejua 7bu za tcu kuchelewesha sellection!! Na kwa anayejua zitatoka lini? Japo hata tetesi!!
Nawasilisha hoja..
tulieni vijanaa naona mnahamu ya kipigasana msuli mtaupiga mpaka mtachoka
kweli kabisaaKuna wengine wana hamu ya mkopo kuliko ata izo selection.
Hawa tcu hata Sijui wana waza nin!? Ni vyema watoe mapema watu wajipange.. Wengine ada mpaka ng'ombe waende mnadani..
bodi ya mikopo haina hela!hazina wameiagiza benki kuu kuchapisha noti kupitia kwa mpiga chapa mkuu wa serikali!kuweni na subira mpaka mwezi disemba!