Gray Ze Don
Member
- Aug 18, 2013
- 36
- 3
Wapendwa poleni na majukumu ya kila siku. Naombeni msaada jamani, eti selection za first year undergraduate zishatoka?
reply=reapplybado kwa sasa wanaomba waliokosa vyuo mwisho wa kureply ni 30/9
reply=reapply
uwe na ushahidi kwa unayoyaandika ,2nd round deadline ni tar 30 mwezi huu ,post zitatoka baada ya tarehe tajwa hapo..acha uongo ww...mwsho wa reaplication ni tar 18.sept....,post znatoka next week
hyo ndo tarehe sahihi ,tar30Mbona kuna mkanganyiko wengine tar 18 wengine 30.ipi ni tarehe sahihi wadau?(ila kwny tangazo lao walionyesha tar 30 mwisho)
tarehe 30/8 ilikuwa ya awam ya 1 awam ya pili mwisho ni leo
tarehe 30/8 ilikuwa ya awam ya 1 awam ya pili mwisho ni leo