Fred Frank
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 296
- 118
Dah wengine wanadai yametoka kweli, dah sasa sjui ni rumors
Wanadai hivo Ila profile yangu IPO kawaida hebu tuwe wapoleDah wengine wanadai yametoka kweli, dah sasa sjui ni rumors
Wanadai hivo Ila profile yangu IPO kawaida hebu tuwe wapole
kwa nini niongope na ni kwa faida ya nani kijana wangu ameangalia kama saa moja iliopita na amefanikiwa kupata chuo hapa nilipo nina furaha kweli kweliMkuu unauhakika...!
Nani kasema?
Kabsa wameshatoatayari yameshatoka kijana wangu amefanikiwa kupata chuo
Hongera mkuu we uliaply kwa chet cha f6 au diploma?ila ata mi nimefanikiwa kuiona
f6 mkuuHongera mkuu we uliaply kwa chet cha f6 au diploma?