MWAKIGOBE
Member
- Nov 1, 2010
- 65
- 2
Tme ya vyuo vikuu nchini imetoa majina ya watu waliochaguliwa kujiunga na vyuo, tatizo langu ni ile pesa ya mkopo waliyotoa haina mchanganuo kama ni:-
-ada ya mwaka au ni miaka yote?
-ni pamoja na michango?
- ni pamoja na malazi na chakula?
naomba kwa anayefahamu anisaidie
-ada ya mwaka au ni miaka yote?
-ni pamoja na michango?
- ni pamoja na malazi na chakula?
naomba kwa anayefahamu anisaidie