TCU!! Ni kweli priority tano tunazochagua mnazifanyia kazi?

frictional

Member
Aug 2, 2015
20
0
Wanajamvi Nmefanya application juzi TCU , ila nmekosa chuo.
Nmesoma PCB nna point sita yaani phys D chem B na biol C.
Mpangilio wangu wa vyuo ulikuwa hivi.
1.maabara (muhas)
2.environmental science and management (ardhi)
3.interior design (ardhi)
4.food science (udsm)
5.fisheries (udsm)
Ila cha kushangaza nmekosa first round!! Nkaambiwa nfanye second round! Ila cha ajabu zaidi nkakuta kozi ambazo nliziomba kama vile INTERIOR DESIGN & FISHERIES zimebaki.Nkachagua tena kwa Mara ya pili INTERIOR DESIGN ya ardhi.
Sasa wakuu ni kweli priority tano tunazochagua TCU wanazifanyia kazi?
 
D.B.C ni point sita mkuu? watu wana BBB wamekosa sembuse wewe hapo ni ushindani ndo umekupiga chini

Si kweli #mwaj !!
Interior design chuo kiitaji watu 30.
Walioomba
first priority 9
Second priority 13
Third priority 12.
Fourth priority 11
Fifth priority 8
Jumla watu 53.
Si rahisi kukosa !!
Swali kwa mini kozi aikujaa na imeombwa na watu 53? !!
 
soma vizuri uzi wake ,hujamuelewa mkuu.


mi nazungumzia huo mstari wa tatu anaodai ana point 6, pia watu wengi wa brn wana BBB zote plus na mi plain kibao sasa ndo maana wana ignore reaplication yake aombe fani nyingine za sayansi asikose vyote
 
Si kweli #mwaj !!
Interior design chuo kiitaji watu 30.
Walioomba
first priority 9
Second priority 13
Third priority 12.
Fourth priority 11
Fifth priority 8
Jumla watu 53.
Si rahisi kukosa !!
Swali kwa mini kozi aikujaa na imeombwa na watu 53? !!


uko sahihi mtu kaomba second prioriry lakini ana matokeo mazuri zaidi yako lazima akupige chini
 
uko sahihi mtu kaomba second prioriry lakini ana matokeo mazuri zaidi yako lazima akupige chini

Fisheries iliombwa na watu 340.
Chuo kiliitaji watu 50 tu.
Kwa nini nafasi zinabaki na mtu umeomba ukanyimwa then second round unaikuta.
Na nafasi zinakua zaidi ya kumi.
 
Fisheries iliombwa na watu 340.
Chuo kiliitaji watu 50 tu.
Kwa nini nafasi zinabaki na mtu umeomba ukanyimwa then second round unaikuta.
Na nafasi zinakua zaidi ya kumi.



wewe ni mgumu kuelewa sana hii brn balaa, wameangalia ufaulu watu wengi wamefanya vizuri sana zaidi yako ndio maana point hizo labda wachukue siku ya mwisho kama walofaulu sana hawajaomba, hyo phy D imekuharibia
 
wewe ni mgumu kuelewa sana hii brn balaa, wameangalia ufaulu watu wengi wamefanya vizuri sana zaidi yako ndio maana point hizo labda wachukue siku ya mwisho kama walofaulu sana hawajaomba, hyo phy D imekuharibia

Hamjamuelewa yeye anachoshangaa nikuachwa kwenye hiyo kozi alohitaja kwenye first round afu kwenye second round inarud ikiwa ina nafasi bad ,salsa kwa nini asingechaguliwa tangu mwanzo kama bad.oilikuwa na nafasi.
 
Usishindane na CAS mkaka....utazingukiwa na 2nd round ukae nyumban sawa....omba ulichokua hujaomba
 
Fisheries iliombwa na watu 340.
Chuo kiliitaji watu 50 tu.
Kwa nini nafasi zinabaki na mtu umeomba ukanyimwa then second round unaikuta.
Na nafasi zinakua zaidi ya kumi.

Pole sana mkuu ila iko hv hakuna mtu ambaye anachaguliwa manual isipokuwa system ndo inayokuwa kazini,ni makosa ya kiufundi tu ila kozi iwepo hayo ni maajabu
 
Hamjamuelewa yeye anachoshangaa nikuachwa kwenye hiyo kozi alohitaja kwenye first round afu kwenye second round inarud ikiwa ina nafasi bad ,salsa kwa nini asingechaguliwa tangu mwanzo kama bad.oilikuwa na nafasi.
safi sana kwa kumuelewa.
 
Wanajamvi Nmefanya application juzi TCU , ila nmekosa chuo.
Nmesoma PCB nna point sita yaani phys D chem B na biol C.
Mpangilio wangu wa vyuo ulikuwa hivi.
1.maabara (muhas)
2.environmental science and management (ardhi)
3.interior design (ardhi)
4.food science (udsm)
5.fisheries (udsm)
Ila cha kushangaza nmekosa first round!! Nkaambiwa nfanye second round! Ila cha ajabu zaidi nkakuta kozi ambazo nliziomba kama vile INTERIOR DESIGN & FISHERIES zimebaki.Nkachagua tena kwa Mara ya pili INTERIOR DESIGN ya ardhi.
Sasa wakuu ni kweli priority tano tunazochagua TCU wanazifanyia kazi?
ulikosea kuanza na chuo chenye wenywe... ndio maana unge anza na vingne usinge temwa..
 
wewe ni mgumu kuelewa sana hii brn balaa, wameangalia ufaulu watu wengi wamefanya vizuri sana zaidi yako ndio maana point hizo labda wachukue siku ya mwisho kama walofaulu sana hawajaomba, hyo phy D imekuharibia

Tulia we mwanamke... soma post yake vizuri ndo u comment unawahi wap??
Asa kama kuna waliostaili kupata hyo nafasi yake mbona hawakupewa?? Anaikuta tena kwenye systeam??
So yeye tuu imetoke kwa wengi. Kama huna vigezo ukichagua 2nd round coz haiingii. Na pale hamna competition maana coz ikishajaa inatoka.
U got that?
 
Back
Top Bottom