RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,382
- 1,851
Sio kirahisi unavyodhani, mambo yatazidi kuwa magumudah mdogo wangu kapona nampeleka mapema udsm
Cut off point zitabaki kuwa juu kwa vyuo pendwa so mjipange hakuna mteremkodah mdogo wangu kapona nampeleka mapema udsm
ahaa kigezo 2D mengine tuwaachie TCU,NACTE,NECTACut off point zitabaki kuwa juu kwa vyuo pendwa so mjipange hakuna mteremko
pole wew usiye na wakukushika mkono na div 1 yako unaweza ukaenda TEku mbeyaSio kirahisi unavyodhani, mambo yatazidi kuwa magumu
Akili yako finyu unafikiri chuo ndo kila kitu watu tumesoma South Africa tumemaliza tunaendeleza harakat, unaona chuo kikuu ndo maisha bado sana maliza uonepole wew usiye na wakukushika mkono na div 1 yako unaweza ukaenda TEku mbeya
ahaaa hii sio vita na jukwaa la elimu mambo ya udaku peleka chit chat kama unafikiri elimu si ktu kaa na elimu yako ya sauz utakula bachelorAkili yako finyu unafikiri chuo ndo kila kitu watu tumesoma South Africa tumemaliza tunaendeleza harakat, unaona chuo kikuu ndo maisha bado sana maliza uone
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Tunaelimishana tu mkuu kwamba elimu maisha ndo kila kitu na sio elimu shule, watu wanaenda shule ili waelimike wamalize nashangaa unavyoisujudia udsm, je ungesoma Mandela si ndo ungehamia kabisaahaaa hii sio vita na jukwaa la elimu mambo ya udaku peleka chit chat kama unafikiri elimu si ktu kaa na elimu yako ya sauz utakula bachelor
mcheza kwao hutuzwa forget about mandela nenda kasikilize nyimbo ya TEKNO-RARATunaelimishana tu mkuu kwamba elimu maisha ndo kila kitu na sio elimu shule, watu wanaenda shule ili waelimike wamalize nashangaa unavyoisujudia udsm, je ungesoma Mandela si ndo ungehamia kabisa
Kubishana na dogo ambalo liko chuo ni jambo la kipuuzi maisha yenyewe bado unajifanyaa unajua, endelea Kubishana na watoto wenzakomcheza kwao hutuzwa forget about mandela nenda kasikilize nyimbo ya TEKNO-RARA
wew si unajua wote tupo chuo endelea kuwaza mawazo yakoKubishana na dogo ambalo liko chuo ni jambo la kipuuzi maisha yenyewe bado unajifanyaa unajua, endelea Kubishana na watoto wenzako