tcu ni jipu bado

tcu ni jipu bado

ommky

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
459
Reaction score
225
kama wamepunguza GPA from 3.5 to 3.0 kwa diploma holder, pia ni bora wangepunguza izo D to E kwa form six ili watende haki sawa kwa wote, na hata wakipunguza is already to late, ila kuna watu bado wana suffer wanataka ata fani ya ualimu, sasa hii elimu sio static/constant kila siku marekebisho ya kisiasa ndani ake, kuna three nzuri mtaani zimeachwa mfano tatu ya kumi na nne D,E,E tena za sayansi kisa kuingiza siasa kwenye elimu. tutaona mwisho wenu tcu kama sio sasa ata mwakani....
 
Pole sana.

Mungu atasikia vilio vyenu kama alivyosikia vya wa diploma.

Cha muhimu uvumilivu.
 
Kilio cha dee ni kikubwa sana pls tcu wawaulumie hawa vijana ususa wa eca pcb pgm pcm cbg dee ni mziki mkubwa nao
 
The moment we become aware the moment we are too late.
 
Wakianza kuhurumia watu kisa combination itakua sio sawa watafute njia nyingine sahihi C ya kiswahili na physics ni kitu hicho hicho tu
 
Kwa Diploma kuna logic kwa kuwa kuna watu wamesoma mpaka form 6 hawakufanikiwa viwango vya kusoma Degree wakaenda Diploma hivyo kwa kushusha imeleta maana, but kwa degree level sidhani kama inafaa maana waliokosa wana chance ya kusoma Diploma
 
Wakianza kuhurumia watu kisa combination itakua sio sawa watafute njia nyingine sahihi C ya kiswahili na physics ni kitu hicho hicho tu
wewe kweli popo, unafananisha phyzo na kiswahili.....sijui nikutukanaje ila nimekustahi wakat mwngne usiongee pumba kama huna hoja
 
Mkuu hiyo italeta athari kubwa sana katika ndoa.
Ndoa hazina maana iwapo hatufuati sheria na taratibu za ndoa hizo
wewe kweli popo, unafananisha phyzo na kiswahili.....sijui nikutukanaje ila nimekustahi wakat mwngne usiongee pumba kama huna hoja
Ungetukana bado ungekua hujafanya kitu cha maana Bali umedhihirisha level ya uelewa wako.

Hizo C zina point sawa iwe ya kiswahili au physics sasa kama ya physics unakua A sijui
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form 6 science waliokosa sifa za kujiunga shahada foundation courses zipo za mwaka 1.Karibuni huduma inatolewa bure
 
Ndoa hazina maana iwapo hatufuati sheria na taratibu za ndoa hizo

Ungetukana bado ungekua hujafanya kitu cha maana Bali umedhihirisha level ya uelewa wako.

Hizo C zina point sawa iwe ya kiswahili au physics sasa kama ya physics unakua A sijui
hivi utakuwa unaliwa na mboga gani?
 
Ndio matamshi ya vijana wa division five na gpa
wewe ndio wale jaffo anasema mkafuñdishe primary na bachela yako ya kiswahi, maana mnashindwa tofautisha quality , kama C ya kiswahili ni sawa na physics in quality form, basi secobd round hii hapa nenda ka apply engineer na kisawhili ako, uone ilo dole gumba utakalo pigwa tena ndolee ya ajabu
 
wewe kweli popo, unafananisha phyzo na kiswahili.....sijui nikutukanaje ila nimekustahi wakat mwngne usiongee pumba kama huna hoja
tofauti na A ya physics na A ya kiswahili ni ipi??

ulisoma physics kwasababu unaimudu na likiwise aliyesoma kiswahili.

ugumu au wepesi kati ya physics na kiswahili unaupima na kuutofautisha au kuulinganisha kwa namna ipi?

kama umefeli sugua benchi tu, hakuna namna.

wengi wenu huwa mnasoma physics kwa matambo na viburi vya hali ya juu.

mama waziri nyoosha hawa vilazer.
 
wewe ndio wale jaffo anasema mkafuñdishe primary na bachela yako ya kiswahi, maana mnashindwa tofautisha quality , kama C ya kiswahili ni sawa na physics in quality form, basi secobd round hii hapa nenda ka apply engineer na kisawhili ako, uone ilo dole gumba utakalo pigwa tena ndolee ya ajabu
Ndio akili za vijana wenye matokeo ya kidato cha nne ya GPA Na div 5,
 
Back
Top Bottom