Mahattah JML
Member
- Mar 8, 2016
- 50
- 17
Habari za saa hizi wanaforum, Kwa mliofanya application kupitia TCU/NACTE CAS haswa wanaotumia vigezo vya Diploma nimegundua kitu hiki kuwa ukijaribu kuingia kwenye akaunti kupitia NACTE inaruhusu kulogin na unaweza kuona mpaka Admission status yako lakini sasa system sijui haijawa up to date maana kwa juu inasema Deadline ni tar 23 Septemba Ijumaa lakini tar ya leo iko sahihi, na Ukijaribu kulogin kupitia TCU kwa kutumia kile kitufe cha Diploma holders,Equivalent qualification system haikubali kufunguka kwa maana hiyo huwezi kulogin . Je hizi ni system mbili tofauti au inakuwaje nashindwa kuwaelewa hawa NACTE. Jaribuni na nyie muone inakuwaje .