TCU mnafanya nini?

TCU mnafanya nini?

fungi6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
287
Reaction score
267
Nimekua nikifanya kazi katika cafe flani mjini nimekua nashangazwa sana na hi bodi ya commission of university ya nyumbani apa ambayo wengi pia hawaelewi ni nini iki kinafanyika na hio bodi cha
1- wanachaguaje wanafunzi vyuo zaidi ya kimoja wapatao wanafunzi 1024 uku wanafunzi zaidi ya 2000 wanakosa vyuo kabisa na waliomba?
2- kulingana na mwongozo wao wanao uita almanarq upo tafauti kabisa na jinsi wanavyo fanya mambo yao walisema tarehe 24-26 sep watakua wametoa majina ya wanafunzi walio omba sec selection but mpaka sasa wametoa tena walio chaguliwa na vyuo zaidi ya kimoja uku wengine watakosa tena naona kabisa sasa ivi ni wanafunzi 600 na zaidi wamepata vyuo zaidi ya kimoja embu angalieni awo walio bakia je watapata ?
3- ili ni nilitaka kujua kabisa je ivo vigezo vya wanafunzi wenye D ndo mnavyo angalia sana au kuna vingine kama vipo mviweke wazi zaidi watoti wasiangaike sana maana apa kila siku wanafunzi wanakuja nilalamika kama namimi nafanya kazi tcu
4- number mnazo weka ziwe na urahisi wakujibiwa ndani ya mda maana nyingi ampokei mnaziweka busy
5- na swali lingine ni ili je wale watakao kosa kabisa vyuo adi round hiyo ya 3 je watapaswa kufanyaje ?
-----mwenye uelewa kidogo anaweza saidia apa kusaidia taifa lakesho wenye kiu na hamu ya mafanikio kwa nyanja hii ya elimu ya juu walio fikia
 
Nimekua nikifanya kazi katika cafe flani mjini nimekua nashangazwa sana na hi bodi ya commission of university ya nyumbani apa ambayo wengi pia hawaelewi ni nini iki kinafanyika na hio bodi cha
1- wanachaguaje wanafunzi vyuo zaidi ya kimoja wapatao wanafunzi 1024 uku wanafunzi zaidi ya 2000 wanakosa vyuo kabisa na waliomba?
2- kulingana na mwongozo wao wanao uita almanarq upo tafauti kabisa na jinsi wanavyo fanya mambo yao walisema tarehe 24-26 sep watakua wametoa majina ya wanafunzi walio omba sec selection but mpaka sasa wametoa tena walio chaguliwa na vyuo zaidi ya kimoja uku wengine watakosa tena naona kabisa sasa ivi ni wanafunzi 600 na zaidi wamepata vyuo zaidi ya kimoja embu angalieni awo walio bakia je watapata ?
3- ili ni nilitaka kujua kabisa je ivo vigezo vya wanafunzi wenye D ndo mnavyo angalia sana au kuna vingine kama vipo mviweke wazi zaidi watoti wasiangaike sana maana apa kila siku wanafunzi wanakuja nilalamika kama namimi nafanya kazi tcu
4- number mnazo weka ziwe na urahisi wakujibiwa ndani ya mda maana nyingi ampokei mnaziweka busy
5- na swali lingine ni ili je wale watakao kosa kabisa vyuo adi round hiyo ya 3 je watapaswa kufanyaje ?
-----mwenye uelewa kidogo anaweza saidia apa kusaidia taifa lakesho wenye kiu na hamu ya mafanikio kwa nyanja hii ya elimu ya juu walio fikia
Daah mkuu hata mimi cielew kinachoendelea uko TCU Maan mambo yako complicated sana
 
mkuu kwenye suala la mwanafunzi kuchaguliwa chuo zaidi ya kimoja wa kulaumiwa sio Tcu labda uvilaumu vyuo. kumbuka wanaochagua hao wanafunzi ni vyuo husika. Tcu wanachofanya. ni kuthibitisha kama hao waliochaguliwa na vyuo wana sifa stahiki. mengine siwezi yasemea.
 
profile yang ya udom haionyesh kama nmekubaliwa o not na nmeomba awamu zote 2.
hapa nko mtaan nachangsha pesa za rambirambi na pic ya babu aliyekufa kitambo ili npate mtaji.
 
profile yang ya udom haionyesh kama nmekubaliwa o not na nmeomba awamu zote 2.
hapa nko mtaan nachangsha pesa za rambirambi na pic ya babu aliyekufa kitambo ili npate mtaji.
unipe mrejesho kama uchangishaji huo una maslahi maana hata mimi naona giza application za mwaka huu mtihani na sijuw UDO NA MZUMBE wamepatwa na nini mpaka sasa hawajatoa majina!!
 
unipe mrejesho kama uchangishaji huo una maslahi maana hata mimi naona giza application za mwaka huu mtihani na sijuw UDO NA MZUMBE wamepatwa na nini mpaka sasa hawajatoa majina!!
maslah yapo ni kucheza na akili za watu tu kupiga hz rambirambi.
yan me ht siwasomi kabisa hlf mbaya zaid me nmeomba udom tu.
 
maslah yapo ni kucheza na akili za watu tu kupiga hz rambirambi.
yan me ht siwasomi kabisa hlf mbaya zaid me nmeomba udom tu.
mkuu hatupishani hata mimi ni udom , ila mzumbe nilijaza kozi moja tu basi. yaani pasua kichwa.
 
Mwaka huu kuna atari ya wanafunzi wengi kukosa vyuo mjiandae kukaa mwaka mzima mkiwa mnatafutiwa solution
 
mkuu hatupishani hata mimi ni udom , ila mzumbe nilijaza kozi moja tu basi. yaani pasua kichwa.
nmechek profile yang ya udom muda huu wananiambia nijaribu application kwa mara ya 3
 
Haya maisha aisee tupate shida kusoma hata chuo pia tupate shida daaahhhhh had nakosa pozi
 
Mwaka huu kuna atari ya wanafunzi wengi kukosa vyuo mjiandae kukaa mwaka mzima mkiwa mnatafutiwa solution
sielewi hiyo mifumo yao ya kuchagua mtu wa ufaulu mdogo anabakia wa ufaulu wa juu, na umejaza taarifa zote kwa usahihi hata ukireview jinsi ulivyojaza iko sahihi na wamekuandikia kabisa katika akaunt yako kuwa maombi yako yemepokelewa kikamilifu.
 
Yani
sielewi hiyo mifumo yao ya kuchagua mtu wa ufaulu mdogo anabakia wa ufaulu wa juu, na umejaza taarifa zote kwa usahihi hata ukireview jinsi ulivyojaza iko sahihi na wamekuandikia kabisa katika akaunt yako kuwa maombi yako yemepokelewa kikamilifu.
Mpaka watumbuliwe
 
nmechek profile yang ya udom muda huu wananiambia nijaribu application kwa mara ya 3
akaunt yangu bado haina maelezo yoyote yale ya Udom zaidi tu yakuona application za nyumba, kwani mkuu majina wametangaza UDOM??
 
akaunt yangu bado haina maelezo yoyote yale ya Udom zaidi tu yakuona application za nyumba, kwani mkuu majina wametangaza UDOM??
hata mi ipo ivo ila kuna watu wamejibiwa waende third round kweny profile zao
 
hata mi ipo ivo ila kuna watu wamejibiwa waende third round kweny profile zao
ok, nimekupata labda wanafanyia kazi akaunt moja moja na je mbali na hao walioambiwa waombe raund ya 3 kuna ambaye umesikia yeye akaunt yake katumiwa kuwa amepata?? raundi ya 2
 
Write your reply...Nyie Achen Utan Bhana Acaunt Yang Ya Udom Mbona Bado Aisomi
nimewapigia udom kama dk kumi zilizopita wameniambia hawajatoa ila wako hatua za mwisho kutoa, na nilivyomuuliza sasa mtu akikosa wakati raund 3 imeshaisha itakuwaje kaniambia hilo liko nje ya uwezo wao labda TCU ndiyo watajuwa la kufanya.
 
ok, nimekupata labda wanafanyia kazi akaunt moja moja na je mbali na hao walioambiwa waombe raund ya 3 kuna ambaye umesikia yeye akaunt yake katumiwa kuwa amepata?? raundi ya 2
bado sijampata alijibiwa kama kapataa
 
Back
Top Bottom