M Mfukunyuzi Senior Member May 30, 2012 125 9 Aug 3, 2012 #1 naona tcu mambo yameshakamilika kama hauamini jaribu kutembelea website ya cuhas kwa uhakika zaidi coz wamesha weka majina ya selected aplicants so kaeni mkao wa kula kuanzia next week
naona tcu mambo yameshakamilika kama hauamini jaribu kutembelea website ya cuhas kwa uhakika zaidi coz wamesha weka majina ya selected aplicants so kaeni mkao wa kula kuanzia next week
NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 Aug 3, 2012 #2 Hizo ni za MASTERS kijana acha kupanikisha watu wewe.
M Mfukunyuzi Senior Member May 30, 2012 125 9 Aug 3, 2012 Thread starter #3 inaonekana hata za undergraduate zipo njiani coz link zipo kinachosubiliwa ni kuap2date majina 2 kijana coz joining instruction wameshatoa
inaonekana hata za undergraduate zipo njiani coz link zipo kinachosubiliwa ni kuap2date majina 2 kijana coz joining instruction wameshatoa
NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 Aug 3, 2012 #4 Mfukunyuzi said: inaonekana hata za undergraduate zipo njiani coz link zipo kinachosubiliwa ni kuap2date majina 2 kijana coz joining instruction wameshatoa Click to expand... Haya ngoja Tusubiri
Mfukunyuzi said: inaonekana hata za undergraduate zipo njiani coz link zipo kinachosubiliwa ni kuap2date majina 2 kijana coz joining instruction wameshatoa Click to expand... Haya ngoja Tusubiri
V victer Member Jun 23, 2012 58 9 Aug 4, 2012 #7 Mfukunyuzi said: inaonekana hata za undergraduate zipo njiani coz link zipo kinachosubiliwa ni kuap2date majina 2 kijana coz joining instruction wameshatoa Click to expand... hzo instructions znapatikana kwenye website ya tcu ama niaje??
Mfukunyuzi said: inaonekana hata za undergraduate zipo njiani coz link zipo kinachosubiliwa ni kuap2date majina 2 kijana coz joining instruction wameshatoa Click to expand... hzo instructions znapatikana kwenye website ya tcu ama niaje??
E elank54 JF-Expert Member Aug 23, 2011 479 21 Aug 4, 2012 #8 Good Guy said: Click to expand... Hehehe tru dat
M Msafiri Kasian JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,133 659 Aug 4, 2012 #9 Good Guy said: Click to expand... dah! Hii kali,ila mimi sitaenda kuishi hivyo,tatizo watu wanaendekeza starehe zaidi.
Good Guy said: Click to expand... dah! Hii kali,ila mimi sitaenda kuishi hivyo,tatizo watu wanaendekeza starehe zaidi.
M Mfukunyuzi Senior Member May 30, 2012 125 9 Aug 4, 2012 Thread starter #10 joining instruction zipo kwenye website ya chuo mfano walioomba cuhas ebu jaribuni kuvist hyo website mtaona hayo maelekezo
joining instruction zipo kwenye website ya chuo mfano walioomba cuhas ebu jaribuni kuvist hyo website mtaona hayo maelekezo