TCU kushusha GPA mpaka 3.0

TCU kushusha GPA mpaka 3.0

kiboko samson

Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
73
Reaction score
74
08fac17636bd16cefe2ce1270d892736.jpg
 
Serikali ya mwendokasi! Wanasiasa wanakimbilia kwenye media kutoa matamko yanayokinzana na utaalamu, matokeo yake ndio hayo watu wanapindua matamko baada ya muda mfupi!
 
Kweli mwendo kasi yaani watu wanakurupuka tu
 
Hii nchi ni noma sijui kama elimu ya tanzania itakuja kuwa katk ubora
 
Kuna watu wanavushwa kijanja apa maana hakuna namna nyingine
 
Kumbe hadi kwenye elimu nako!!!...me nikajua ni kwenye matamko tu...duh!!!.
 
trump gets his degree from the university of Pennsylvania and hillary clinton gets her degree from yale... wote ivy league......ila hawa wa kwetu wazee wa matamko wamepata vyuo vya mwendo kasi. tuwavumilie tu
 
Elimu ya tanzania haina ubora kila mwaka inachezewa kisiasa mara BIG RESULT NOW , mara wakaanzisha DIVISION 4 inafika mpaka 40, mara GPA inajitune yenyewe kama vile kama redio za mchina teh hii nchi ingie tu kwenye maajabu ya dunia
 
Serikali ya mwendo kasi, mwezi July walitoa waraka kuwa kidato cha pili hakutakuwa na mchujo, mwezi huu September wamekuja na waraka tena eti mitihani uko pale pale na mchujo uko pale pale..... Kwenye GPA nako, mkurupuko at work
 
Wanazima umeme!!
Wakija kuwasha jaisika keshamaliza udomu.

Baada ya hapo geti linalindwa na efuefuyuu, tuone mtoto wa kabwela atakatizia wapi!!!

Trump ndio tunamuombea.
 
Poleni sana wadogo zangu ombeni tu ila kwenye mkopo nadhani wengi hawakuapply. Ama kweli Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi
 
Hawakujua kama 3.5 ni kubwa, walikosea makadirio.
 
Poleni sana wadogo zangu ombeni tu ila kwenye mkopo nadhani wengi hawakuapply. Ama kweli Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi
Watapewa muda wa kuapply mkopo pia sababu kosa ni la TCU
 
Back
Top Bottom