TCU kushusha GPA mpaka 3.0

TCU kushusha GPA mpaka 3.0

Ila kuacha kuwapa form six chance ya kwenda degree sio poa
 
Wamegundua vyuo vingi vya private kukosa wanafunzi ndio maana wameshusha
 
unyama unyama......nchi hii,form 6 ndio bado wamechinjiliwa baharini.....4.0 cut of points si ndogo,inabidi wafikiliwe na wao ifike hata 3.0,maoni Tuuuuuuu......
 
Back
Top Bottom