MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Nashukuru mkuu unaejielewaWewe ni maskini mkubwa wa fikra, hujielewi.
Nashukuru mkuu unaejielewaWewe ni maskini mkubwa wa fikra, hujielewi.
Kweli huyo jamaa inaonekana hata hajielewi ndugu.unaona ndo mana nakwambia ujielew wew mm nshapenyaga nawaskitikia walo nyuma yangu
Kwahiyo hata kama tumekosea tushindwe kufanya marekebisho sababu kuna watu wamefanya mtihani tayarikwa wanavo katishwa tamaa ya maish hasa ukizngatia hiz marks mpya zilikuj baada ya wao kufny mtihan jaribu kufkiria usijifany wewe unauchungu saaaana na hii elim ya bongo
na ndo maana unaona mara wameshusha viwango kutoka GPA 3.5 MPAK 3.0 ni kutokana na kukurupuka kwao hawakufanyKwahiyo hata kama tumekosea tushindwe kufanya marekebisho sababu kuna watu wamefanya mtihani tayari
Poa subirini na kwa form six watashusha kutoka d mbili mpaka s mbilina ndo maana unaona mara wameshusha viwango kutoka GPA 3.5 MPAK 3.0 ni kutokana na kukurupuka kwao hawakufany
utafit kama wameamua kuweka viwango vya juu nini wanababaika???
ahahhahaa atleast wangewek point 3 yaan ED maana zaman ilikua ni E 2 tena inaanz 35Poa subirini na kwa form six watashusha kutoka d mbili mpaka s mbili
Kwan kuna 3rd round..?ahaa kuna vyuo vinadai wanafunzi kufikia 597 kwa koz moja yan kicheko na ukikosa second round jiandae na third round usikate tamaa katikati ya magumu na miujiza hujitokeza.........
Duh! Umetoa kali aseee.....Wale wenye line za chuo kazi kwenu jamaa yangu alikuwa anatumia line ya chuo bodi ya mikopo imemletea deni eti alisoma udsm wakati jamaa kaishia form 2 enzi hizo Matombo![]()

Ipo subir uoneKwan kuna 3rd round..?
inawezekana mabadiliko ni muda wowoteKwan kuna 3rd round..?
We c unatetea ujinga baada ya kuwashauri wadogo wasome kwabidii
duuuh aiseee kumbe utakuta tunadaiwa hadi na HESLB aiseee wakita wala hatusmiDuh! Umetoa kali aseee.....![]()
Mkuu mie ubinafsi wangu ni upi tena?its logic,,,,hawa form 6 wanayonafasi ya kwenda diploma,,,,ulishafikiria hao diploma wasio na sifa wakasome nin???
Mtoa mada acha ubinafsi usijiangalie peke yako
maelezo mazuri wasiwasi wangu cjui kama wataipata na ata wakiipata kama wataitekeleza
ikifika mahali watoto wa vigogo wanaisoma namba ndo angalau tutaona auheni ila kwa sasa tcu wameamua kuua nyani bila kumtazana usoni![]()
![]()
![]()
![]()