herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,199
- 1,377
Kuteleza sio kuanguka TCU mengi mnayoamua ni ya hovyo sana hapa HAKI itakuwa haijakamilika kama hamtarekebisha na cutoff points kwa form six graduates.
Kumbukeni maamuzi mliyatoa kwa wote Diploma Holders na Form Six graduates kupandisha GPA na Cutoff point wote wakiwa wameshafanya mitihani inakuaje mnabatilisha maamuzi yenu kwa Diploma Holders pekee na kuacha Form Six graduates wakihukumiwa kwa kigezo kilekile mlichopanga wakiwa wameshafanya mitihani?
Hivi hii ni mnatenda HAKI ?
Hawa pia ni watoto wa makapuku, wanyonge, pangu pakavu msiporekebisha machozi ya damu na jasho la watu hawa bado itakuwa ni juu yenu hakika.
Awali niliandika humu kupinga mengi ya hovyo mnayofanya ikiwa mda mdogo wa usajili kwa Diploma holders mkaongeza, GPA mmerekebisha sasa rekebisheni na kwa Form Six graduates.
TCU mnafanya haya madudu kwa faida ya nani?
Wanafunzi wa Diploma mliodhulumiwa fedha zenu fungueni kesi mahakamani dhidi ya TCU
[HASHTAG]#TUNATAKA[/HASHTAG] ELIMU BORA MADUDU NA MAIGIZO KWENYE ELIMU SASA YATOSHA.
Kumbukeni maamuzi mliyatoa kwa wote Diploma Holders na Form Six graduates kupandisha GPA na Cutoff point wote wakiwa wameshafanya mitihani inakuaje mnabatilisha maamuzi yenu kwa Diploma Holders pekee na kuacha Form Six graduates wakihukumiwa kwa kigezo kilekile mlichopanga wakiwa wameshafanya mitihani?
Hivi hii ni mnatenda HAKI ?
Hawa pia ni watoto wa makapuku, wanyonge, pangu pakavu msiporekebisha machozi ya damu na jasho la watu hawa bado itakuwa ni juu yenu hakika.
Awali niliandika humu kupinga mengi ya hovyo mnayofanya ikiwa mda mdogo wa usajili kwa Diploma holders mkaongeza, GPA mmerekebisha sasa rekebisheni na kwa Form Six graduates.
TCU mnafanya haya madudu kwa faida ya nani?
Wanafunzi wa Diploma mliodhulumiwa fedha zenu fungueni kesi mahakamani dhidi ya TCU
[HASHTAG]#TUNATAKA[/HASHTAG] ELIMU BORA MADUDU NA MAIGIZO KWENYE ELIMU SASA YATOSHA.
