Kwa uelewa wangu, mitandao yote mikubwa ina matatizo, na hakuna hata mmoja wao una utamaduni wa kurudi kwa wateja na kuwataka radhi pindi tatizo linapotokea.
GOOD Mzawa Halisi, kuna Campany moja la Simu linalojulikana Ndio lina network eti Nzuri Limefuta promotion yake ya kufurahi hvyo kwenye mikoa mingi ya Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.