TCRA kujenga kiwanda cha kutengeneza simu

Nipo katika ujuzi huu miaka 7 nategemewa na kijiji kizima na nina watoto pia.


Leo niwaache wajiangaikie kwa kuwa nipo nasomea ujuzi huu huu niliodumu nao miaka 7 kweli.

WASHAURI WA JPM wanazingua aisee.

Ok DIT NA VETA fungueni app au wekeni utaratibu ambao mtu atajisomea akiwa home kisha baadaye aje afanye mtihani akifaulu mumpe hicho cheti.
 
Wameshindwa kuwadhibiti wazee wa "ile fedha tuma kwa namba hii" ndiyo wakatengeneze simu!!!🤣🤣😂
 
Hii Branchi ya Kipawa nadhani ni moja ya centers za VETA nchini zenye facilities za kisasa sana za kitechnolojia. sema kama vile serikali inakitelekeza flani hivi, ule uwekezaji uliofanywa pale siyo wa kitoto.ila kuna under utilization. Nadhani ni chuo chenye uwezo wa kutoa watalaamu wa kati wa kulisaidia taifa letu. hasa katika suala la Tehama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…