TCRA kujenga kiwanda cha kutengeneza simu

Hujamuelewa mtoa mada pia hujaelewa mesej nzima pia umetumia akili ndogo sana kufikiri vitu haviwezekan
We may come with the phone greater than that iphone pro max 20 hhhh
Hiyo taarifa sijaiona Jeiefu tu mwenye akili nyingi........
 
Na bado, mafundi TV mkae wawili wa wawil wakimaliza kunawa mafundi simu mtanawushwa nyinyi😃
 
Nahisi itakuwa ni mahali pa kuwaweka mafundi wa kurekebisha simu sehemu moja, sio kuunda.
Ndiyo ,
Itakuwa katakana ya kukalabati silizohalibika,na siyo kutengeneza mpya.
 
Tanzania hatuamini katika vipaji ni mwendo wa makaratasi tu. Hata kama unaweza tengeneza kitu bila makaratasi serikali haikuamini wala kukupa chance.
NI kweli, ila pia ni usumbufu kwa wale ambao ni IT kabisa walikosa job na Wana degree wakaamu kuwa mafundi simu, je hawa nao wakasome veta na wakati wana ujuzi tayari.

Hii ni shida ya kuachia taasisi za serikali wazee kwa miaka nenda rudi.
 
Ni usumbufu, yaani mtu aanze kusakua madesa tena.
 
Safari hii tunategemea mpka leseni za mamalishe wawe wamepewa mafunzo🥴🥴
 
Kweli tanzania kuna vituko watu wamebeba tu makaratasi vichwani kuwa wamesomea kumbe awajui kitu kwanza mafundi wa veta ndio mabomu hawajui lolote ufundi ni kipaji si darasani wambieni TCRA wajue hilo
 
😀😀 ngoja tuone
Ufundi si darasa hizi ni vipaji kutoka kwa mungu tcra waangalie hilo kwa mara ya pili wasikurupuke mbona nchi inakuwa na siasa nyingi zingine hazina nyuma wala mbele
 
Kweli hii ni tanzania hilo haliwezekani kufungua kampuni kama hiyo aisee ni mikwara tu tuliona kenya wsnafunga simu za kichina mbona walijiona wenyewe ni wajinga wakaacha tu
 

Mbona ni rahisi sana kwa hii serikali. Wanazuia tu simu za nje na mchezo tayari. Huoni walivowafanya Fast Jet
 
Tz regulator anakuwa manufacturer[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Manufaa ya kutambuliwa na TCRA ni yapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…