TCRA Inawahujumu Waislam

TCRA Inawahujumu Waislam

Status
Not open for further replies.
Lawama zoote! kumbe unaomba mchango. Nakushauri fuatilia kama kweli ni TCRA wameihamisha kwenye jengo hiyo redio. pia fuatilia kwa nini wamefanya hivyo maana inaonyesha na wewe hujui sababu. Jitahidi siku zote kufanya utafiti kabla ya kulalamika. Mara nyingi malalamiko yasiyo na hoja hayasikilizwi.

Huyu ndugu kazunguka kumbe shida mchango? Sijui kwanini mnapenda kulalamika kiasi hiki!
 
Yes! Redio watatukana sana na kuleta uchochezi pamoja na muendeelezo wa malalamiko yasiyo na msingi, bila kusahau kuhubiri chuki na fitina ktka jamii

Radio za kikristo zingekuwa hivi pia nadhani wangebeba mapanga watuchinje. Lakini sie tunakula zetu gospel kwa raha zetu. Mungu yu mwema
 
kwani tcra wamekuwa wataalam wa milipuko ya mabomu siku hizi?
 
Kuna bwana mmoja ameandika makala wiki za hivi karibuni akiwasifu RC kuwa wanacheza kama pele. Hata ukijipa upofu ukampinga, Kwenye jambo kama hili inakubidi tu uhafikiane naye.

Ona, wenzao baada ya kupewa order na TCRA wamefanya jitihada ya kukamilisha jengo mojawapo kwenye complex la Kristu Mfalme-Tabata. Pale wana nursery, P/S, Sec, Modern Social & Conference Hall, Mkombozi Bank Branch, n.k na sasa wanahamishia Studio za Radio na TV Tumaini. Na bado watabaki na space kubwa ya kufanya mambo mengine. Wenzao wanakula sahani moja kulalama na TCRA!

Bro, sio Tumaini media tu, ni vituo vingi tu vimeamriwa kwnda nje kidogo ya mji na TCRA. Clouds Radio walikuwa pale jengo la kitega uchumi, wamehamia Kawe. Times FM walikuwa pale Lugoda, wamehamia Kawe Beach, sana nashangaa mtoa mada yeye analalamikia redio yao tu kwamba imeonewa.

Nyie Waislam wa dizaini hii kuna siku mtalalamika mungu anawaonea kwa sababu nyie ni waislam....
Duh. Hii kali, mie sipo
 
mfumo kristo hao. lkn tushaanza kuchangia matv mengi na maredio yanakuja

Na yakiishakuja mtaacha kulalamika kuwa yanahujumiwa?mbona wakristo mnawahujumu kwa kuwaita makafiri,kuchoma makanisa yao[rejea zanzibar]na bado hawalalamiki ki hivyo. Wana amka wajifuta vumbi na safari inaendelea amkeni.
 
Mimi ningekuwako huko tcra nisingechelewesha tu bali ningepiga marufuku usajili wa vyombo vya habari vya kiislamu kwani vipo ktk misingi ya uchochezi wakai wote.................soma vigazeti kama al nuur au sikiliza kiredio kama radio imani ni uchochezi tu wa kidini...................vyombo vya habari vya kiislamu kiukweli ni hatrari kwa amani ya nchi....................ningekuwapo tcra ningewapa muda wa miaka 10 waislamu wajirekebishe kwanza kwenye vyombo walivyonavyo kwa kuacha kuleta uchochezi wa kidini nakufuatilia kwa kina vipindi na mijadala yao hasa ile ya kipuuzi....................
Tahadhari: Kwa post hii tu wanaweza kuandamana kesho na kuhatarisha amani tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom