TCRA achieni Twitter yetu! Tunaojitambua tunaihitaji kwa elimu yetu

robinson crusoe

JF-Expert Member
Oct 22, 2020
740
1,214
Tuko mikoani tukilamba x-mas yetu lakini tunataka kuwa connected na dunia.

Tangu iliposikika kwamba kuna video ya ngono ya wanasiasa wawili, twitter haiko hewani. Tunahangaika kupitia njia za panya ili kuwasiliana na kusoma mambo ya muhimu. Hii kufunga funga itaendelea hadi lini wakati kuna mijitu mijinga mingi ikifanya ngono kwa uzembe?

Kama kweli sababu ni hiyo ya wanasiasa wanaojianika kwa ngono basi itakuwa ni mateso kwa Watanzania.

TCRA turudishieni twitter. Anayeamua kujitandaza hovyo isiwe mzigo kwa taifa. Wapuuzi hawatakwisha kwa mtindo huu.
 
Tangu iliposikika kwamba kuna video ya ngono ya wansiasa wawili, twitter haiko hewani.

Ndio Tunajua Serikali imefungia Twitter

Lakini kusema ukweli hakukubadilishi jinsia kaka, Tangu uchaguz Twitter imefungiwa wew Unakuja kusema Sijui video Sijui Wanasiasa wawili

Kama ingekuepo kweli hio video Watu wote wangeshaiona

Toa malalamiko yako kwa kusema ukweli na sio kwa kuongopa ongopa hapa
 
Ndio Tunajua Serikali imefungia Twitter

Lakini kusema ukweli hakukubadilishi jinsia kaka, Tangu uchaguz Twitter imefungiwa wew Unakuja kusema Sijui video Sijui Wanasiasa wawili

Kama ingekuepo kweli hio video Watu wote wangeshaiona

Toa malalamiko yako kwa kusema ukweli na sio kwa kuongopa ongopa hapa
Video ipo, ukiitaka usilete ubishi ili upewe.
 

Tuko mikoani tukilamba x-mas yetu lakini tunataka kuwa connected na dunia.


Tangu iliposikika kwamba kuna video ya ngono ya wanasiasa wawili, twitter haiko hewani. Tunahangaika kupitia njia za panya ili kuwasiliana na kusoma mambo ya muhimu. Hii kufunga funga itaendelea hadi lini wakati kuna mijitu mijinga mingi ikifanya ngono kwa uzembe?

Kama kweli sababu ni hiyo ya wanasiasa wanaojianika kwa ngono basi itakuwa ni mateso kwa Watanzania.

TCRA turudishieni twitter. Anayeamua kujitandaza hovyo isiwe mzigo kwa taifa. Wapuuzi hawatakwisha kwa mtindo huu.
 
Tuko mikoani tukilamba x-mas yetu lakini tunataka kuwa connected na dunia.

Tangu iliposikika kwamba kuna video ya ngono ya wanasiasa wawili, twitter haiko hewani. Tunahangaika kupitia njia za panya ili kuwasiliana na kusoma mambo ya muhimu. Hii kufunga funga itaendelea hadi lini wakati kuna mijitu mijinga mingi ikifanya ngono kwa uzembe?

Kama kweli sababu ni hiyo ya wanasiasa wanaojianika kwa ngono basi itakuwa ni mateso kwa Watanzania.

TCRA turudishieni twitter. Anayeamua kujitandaza hovyo isiwe mzigo kwa taifa. Wapuuzi hawatakwisha kwa mtindo huu.
We ingia protons
 
Tatizo siyo TCRA!
0659010.jpg
 
Back
Top Bottom