robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 740
- 1,214
Tuko mikoani tukilamba x-mas yetu lakini tunataka kuwa connected na dunia.
Tangu iliposikika kwamba kuna video ya ngono ya wanasiasa wawili, twitter haiko hewani. Tunahangaika kupitia njia za panya ili kuwasiliana na kusoma mambo ya muhimu. Hii kufunga funga itaendelea hadi lini wakati kuna mijitu mijinga mingi ikifanya ngono kwa uzembe?
Kama kweli sababu ni hiyo ya wanasiasa wanaojianika kwa ngono basi itakuwa ni mateso kwa Watanzania.
TCRA turudishieni twitter. Anayeamua kujitandaza hovyo isiwe mzigo kwa taifa. Wapuuzi hawatakwisha kwa mtindo huu.
Tangu iliposikika kwamba kuna video ya ngono ya wanasiasa wawili, twitter haiko hewani. Tunahangaika kupitia njia za panya ili kuwasiliana na kusoma mambo ya muhimu. Hii kufunga funga itaendelea hadi lini wakati kuna mijitu mijinga mingi ikifanya ngono kwa uzembe?
Kama kweli sababu ni hiyo ya wanasiasa wanaojianika kwa ngono basi itakuwa ni mateso kwa Watanzania.
TCRA turudishieni twitter. Anayeamua kujitandaza hovyo isiwe mzigo kwa taifa. Wapuuzi hawatakwisha kwa mtindo huu.