leo dada stori yako nzuri sana.nitakunyaje na popo Kanyea mbingu
Msipende sana misaada, tengeneza kipato chakoUmetisha sana dada
Wanaume mnaona mwenzenu kahonga viwanja enhee sasa nyie endeleeni kusema mapenzi sio pesa
Si unaona dada pia alikuwa na kazi yakeMsipende sana misaada, tengeneza kipato chako
Lakini yeye hakuwa anaomba, alipewa tu.Si unaona dada pia alikuwa na kazi yake
Funzo lipo hapo sasa kwamba ukipenda hudumia bila kuombwaLakini yeye hakuwa anaomba, alipewa tu.
Hivi mwanaume uliempenda wewe, asipokupa hela upendo unaisha?
Hakuna funzo lolote.Funzo lipo hapo sasa kwamba ukipenda hudumia bila kuombwa
ππππPunguza kusema ukweli utakuja kurogwa some day ππMsipende sana misaada, tengeneza kipato chako
ππππ AwiiiiiiiHakuna funzo lolote.
Stori yake ni nzuri majukwaani ila sio nzuri kijamii. Kuna sehemu anasema huwa anaipigia makofi k yake kwa kumpa vingi. Je wewe unaweza mshauri binti yako atumie k yake kupata vingi toka kwa wanaume?
Nampongeza maana kuna wanaotoa na hawapati hata mswaki...acha aipigie makofi bwana tena aipe zawadi ya steaming leo πHakuna funzo lolote.
Stori yake ni nzuri majukwaani ila sio nzuri kijamii. Kuna sehemu anasema huwa anaipigia makofi k yake kwa kumpa vingi. Je wewe unaweza mshauri binti yako atumie k yake kupata vingi toka kwa wanaume?
Kaja mbio kusema wanaume tujifune like seriously.ππππPunguza kusema ukweli utakuja kurogwa some day ππ
Nimeuliza tu kimtazamo wako unaweza mshauli mwanao afanye hivyo? Wala sijasema amekosea kutumia k yakeNampongeza maana kuna wanaotoa na hawapati hata mswaki...acha aipigie makofi bwana tena aipe zawadi ya steaming leo π
Story nzima kaona hiyo line tu ππKaja mbio kusema wanaume tujifune like seriously.
Hajaona kingine zaidi ya kuhongwa.Story nzima kaona hiyo line tu ππ
Hapana siwezi kumshauri ila akipata bahati asiiachieNimeuliza tu kimtazamo wako unaweza mshauli mwanao afanye hivyo? Wala sijasema amekosea kutumia k yake
Sawa mremboπππHapana siwezi kumshauri ila akipata bahati asiiachie
Unakimbia unenda wapi tena? raraa reree ...πββοΈπββοΈ