TBT: Rais Magufuli akikosoa mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo

TBT: Rais Magufuli akikosoa mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
TBT: Mkutano wa rais Magufuli na wafanya biashara uliofanyika ikulu tarehe 07 june, 2019 akielezea kwanini amezuia kuwekeza kwenye bandari ya Bagamoyo

Soma pia: Sakata la bandari ya Bagamoyo kuuzwa kwa Waarabu latua Bungeni. Prof. Kitila asema Serikali haijaingia makubaliano yoyote ya uwekezaji


Katika maelezo yake Rais Magufuli akitoa ufafanuzi juu ya kuzuia kuwekeza katika ujenzi wa bandari ya Bagamayo alisema tunatakiwa kufufua bandari zilizokuwepo tangu awali kwanza ndipo tuwaze kujenga mpya kwasababu tukisema tujenge mpya maana yake tunaziua zile zilizokuwepo, badala yake tuziboreshe zianze kufanya kazi.

‘’Leo unakwenda unadump hela pale Bagamoyo maana yake si unaiua hii bandari iliyoachwa na Nyerere’’
 
Wewe mtoa mada maoni yako ni Yapi!?

Je magufuli Alikuwa sahihi Au la !?
 
Viongozi wa Tanzania hasa CCM tabia zao zote zinafanana.

Uongo uongo, ubinafsi, roho mbaya na upendeleo.

Jiwe kaikataa bandari ya Bagamoyo na kusema ni kichaa tu ambaye angekubali masharti ya mkataba wa bandari ya Bagamoyo.

Wakati huo huo kalazimisha kujenga tawi la benki la CRDB chato licha ya kuambiwa na wataalamu kwamba chato hakufai kujengea tawi la benki la CRDB kutokana na mzunguko mdogo wa pesa.

Kaenda kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa ambao kwa sasa hata hali yake sijui ukoje.


Huyu mama nae anapita mlemle kama mwendazake.

Anapeleka pesa zanzibar na kupajenga kwa expense za watanganyika na hakuna cha kumfanya.

CCM ndipo walipotufikisha.
 
Viongozi wa Tanzania hasa CCM tabia zao zote zinafanana.

Uongo uongo, ubinafsi, roho mbaya na upendeleo.

Jiwe kaikataa bandari ya Bagamoyo na kusema ni kichaa tu ambaye angekubali masharti ya mkataba wa bandari ya Bagamoyo.

Wakati huo huo kalazimisha kujenga tawi la benki la CRDB chato licha ya kuambiwa na wataalamu kwamba chato hakufai kujengea tawi la benki la CRDB kutokana na mzunguko mdogo wa pesa.

Kaenda kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa ambao kwa sasa hata hali yake sijui ukoje.


Huyu mama nae anapita mlemle kama mwendazake.

Anapeleka pesa zanzibar na kupajenga kwa expense za watanganyika na hakuna cha kumfanya.

CCM ndipo walipotufikisha.
Kwa hiyo wewe Magufuli kuikataa hiyo Bandari ya Bagamoyo unaona alifanya makosa? Mkataba wa ile bandari uliiona au umeamua kuongea tu kujifurahisa

Mkataba ulikuwa unasema hiyo bandari ikijengwa ukanda wa Pwani kuanzia Tanga mpaka Mtwara bandari zote unazozifahamu hazitakiwi ku-operate sasa wewe na yeye nani mwendawazimu, alisimamia maslahi mapana ya bandari zilizokuwa zinasimamiwa na kuendeshwa na nchi
 
TBT: Mkutano wa rais Magufuli na wafanya biashara uliofanyika ikulu tarehe 07 june, 2019 akielezea kwanini amezuia kuwekeza kwenye bandari ya Bagamoyo

Soma pia: Sakata la bandari ya Bagamoyo kuuzwa kwa Waarabu latua Bungeni. Prof. Kitila asema Serikali haijaingia makubaliano yoyote ya uwekezaji


Katika maelezo yake Rais Magufuli akitoa ufafanuzi juu ya kuzuia kuwekeza katika ujenzi wa bandari ya Bagamayo alisema tunatakiwa kufufua bandari zilizokuwepo tangu awali kwanza ndipo tuwaze kujenga mpya kwasababu tukisema tujenge mpya maana yake tunaziua zile zilizokuwepo, badala yake tuziboreshe zianze kufanya kazi.

‘’Leo unakwenda unadump hela pale Bagamoyo maana yake si unaiua hii bandari iliyoachwa na Nyerere’’
HUYU BWANA NIKIMKUMBUKA JINSI ALIVYOUA UCHUMI WA TANZANIA NABAKI KUSEMA 'HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII'
 
Kwa hiyo wewe Magufuli kuikataa hiyo Bandari ya Bagamoyo unaona alifanya makosa?
Ndio alifanya makosa kukataa bandari moja kwa moja.

Alikataa na kufunga majadiliano kwa chuki zake tu.

Hizo zilikuwa ni terms tu muhimu wangekaaa chini na kujadilaina hili tufikie win win situation.

Hata Samia na timu yake walikataa masharti hayo lakini hakustisha ujenzi wake akaamua nchi itajenga na mbia atakuja kuungia nchi ilipoanzia.
Mkataba wa ile bandari uliiona au umeamua kuongea tu kujifurahisa
Wewe mkataba umeuona?

Unaweza kutuwekea hapa?

Una uhakika gani kama alichokuambia Magu ni sahihi kwa asilimia mia?
Mkataba ulikuwa unasema hiyo bandari ikijengwa ukanda wa Pwani kuanzia Tanga mpaka Mtwara bandari zote unazozifahamu hazitakiwi ku-operate sasa wewe na yeye nani
Narudia tena ule haukuwa mkataba ni mapendekezo ya kwenye mkataba una haki ya kuyakataa kama alivyofanya magu au kukubali sio lazima.
alisimamia maslahi mapana ya bandari zilizokuwa zinasimamiwa na kuendeshwa na nchi
Kusimamia mali za nchi ndiyo kitu tunachokhitaji kutoka kwa viongozi wetu.

Hatuhitaji ubinafsi na upendeleo ambao Magu wako alikuwa nao na aliuonesha bila ya aibu.
 
Kwa hiyo wewe Magufuli kuikataa hiyo Bandari ya Bagamoyo unaona alifanya makosa? Mkataba wa ile bandari uliiona au umeamua kuongea tu kujifurahisa

Mkataba ulikuwa unasema hiyo bandari ikijengwa ukanda wa Pwani kuanzia Tanga mpaka Mtwara bandari zote unazozifahamu hazitakiwi ku-operate sasa wewe na yeye nani mwendawazimu, alisimamia maslahi mapana ya bandari zilizokuwa zinasimamiwa na kuendeshwa na nchi
Maguli alikuwa na primitive thoughts ndo mana nchi ilikuwa inamfia mpaka alivyoshtuka na kuanza kuwabebeleza kushiriki katika uwekezaji baada ya kuona signs za wawekezaji wote kukimbia kwa sababu ya one man show. Hii decision ya kujenga bandari bagamoyo kujengwa au la ilipaswakufanywa na bunge siyo rais. sheria iansema hivyo
 
Maguli alikuwa na primitive thoughts ndo mana nchi ilikuwa inamfia maka alivyoshtuka na kuanza kuwabebeleza kushiriki katika uwekezaji baada ya kuona signs za wawekezaji wote kukimbia kwa sababu ya one man show. Hii decision ya kujenga bandari bagamoyo kujengwa au la ilipaswakufanywa na bunge siyo rais. sheria iansema hivyo

Tulipigwa pigo kubwa Sana kumkosa huyu mzee, any way yote tushukuru.
 
Wewe ni mchumi au bendera fuata Upepo aliua vipi uchumi? Taja sababu moja ya kuonyesha uchumi ulikua umekula wakati wa Magu? Mmegeuzwa kasuku
HUYU BWANA NIKIMKUMBUKA JINSI ALIVYOUA UCHUMI WA TANZANIA NABAKI KUSEMA 'HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII'
 
Pigo gani zaidi ya kufurahi tu kifo chake. Kwanza aligaka kumuua kila anayekosoa sera zake mbaya. Mfano ni lisu
Sasa hivi tunaongozwa na kahab wa kima...kundu..chi
 
Wewe ni mchumi au bendera fuata Upepo aliua vipi uchumi? Taja sababu moja ya kuonyesha uchumi ulikua umekula wakati wa Magu? Mmegeuzwa kasuku
Uchumi ni uwekezaji yaani FDIs. Hii sector aliua ulienda kusoma takwimu za T.I.C yaani tanzania investment center. Wawekezaji walikimbia akabaki anasisitiza machinga ndo wadominate uchumi wa nchi hii
 
Maguli alikuwa na primitive thoughts ndo mana nchi ilikuwa inamfia mpaka alivyoshtuka na kuanza kuwabebeleza kushiriki katika uwekezaji baada ya kuona signs za wawekezaji wote kukimbia kwa sababu ya one man show. Hii decision ya kujenga bandari bagamoyo kujengwa au la ilipaswakufanywa na bunge siyo rais. sheria iansema hivyo
Bunge hata yeye alikua anajua halina meno, hivyo akawa anaamua yeye tu vile atakavyo.
 
Maskini propaganda ndo mmelishwa unajua waziri wa fedha kipindi cha Magu alikua ni nani alafu ndo twendelee
Uchumi ni uwekezaji yaani FDIs. Hii sector aliua ulienda kusoma takwimu za T.I.C yaani tanzania investment center. Wawekezaji walikimbia akabaki anasisitiza machinga ndo wadominate uchumi wa nchi hi
 
Ndio alifanya makosa kukataa bandari moja kwa moja.

Alikataa na kufunga majadiliano kwa chuki zake tu.

Hizo zilikuwa ni terms tu muhimu wangekaaa chini na kujadilaina hili tufikie win win situation.

Hata Samia na timu yake walikataa masharti hayo lakini hakustisha ujenzi wake akaamua nchi itajenga na mbia atakuja kuungia nchi ilipoanzia.
Wewe mkataba umeuona?

Unaweza kutuwekea hapa?

Una uhakika gani kama alichokuambia Magu ni sahihi kwa asilimia mia?
Narudia tena ule haukuwa mkataba ni mapendekezo ya kwenye mkataba una haki ya kuyakataa kama alivyofanya magu au kukubali sio lazima.
Kusimamia mali za nchi ndiyo kitu tunachokhitaji kutoka kwa viongozi wetu.

Hatuhitaji ubinafsi na upendeleo ambao Magu wako alikuwa nao na aliuonesha bila ya aibu.
Mkataba si uliwekwa humu tafuta usome, unasema alikataa kwa chuki zake wewe unazijua chuki wewe kwa hiyo mtu akikataa mambo ya hovyo we unadai ni chuki sio Magufuli utamsema vyote ila kwenye usimamizi wa rasilimali za nchi hakutaka ujinga kama viongozi wenu waliopita
 
Back
Top Bottom