Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,152
- 20,326
Tujikimbushe kidogo zahama zilizotukuta.
Sijui kilitokea kirusi gani kwenye jina la Tundu Lissu wakati wa kampeni za Lala Salama ilikuwa ukituma ujumbe mfupi kwenye mitandao ya simu aina zote ujumbe ule ulikuwa haupelekwi hewani au haumfikii mlengwa.
Mathalani unachati na rafiki yako kwamba Tundu Lissu huenda asishinde Urais basi ujumbe huo haufiki unakopelekwa.
Dunia hii kuna watu wametuazima tu. Ni dunia ya kwao. Wanaweza kukustopisha hata Oxygen unayovuta na hakuna cha kuwafanya.
Sijui kilitokea kirusi gani kwenye jina la Tundu Lissu wakati wa kampeni za Lala Salama ilikuwa ukituma ujumbe mfupi kwenye mitandao ya simu aina zote ujumbe ule ulikuwa haupelekwi hewani au haumfikii mlengwa.
Mathalani unachati na rafiki yako kwamba Tundu Lissu huenda asishinde Urais basi ujumbe huo haufiki unakopelekwa.
Dunia hii kuna watu wametuazima tu. Ni dunia ya kwao. Wanaweza kukustopisha hata Oxygen unayovuta na hakuna cha kuwafanya.