F FAFI Member Joined Jun 9, 2015 Posts 36 Reaction score 0 Aug 25, 2015 #1 Jamani siku zinazidi kwenda na TBS wamekaa kimyaa, Hivi hakuna mwenye tetesi yoyote?? au lile tangazo la kazi ilikuwa sikukuu ya wajinga??
Jamani siku zinazidi kwenda na TBS wamekaa kimyaa, Hivi hakuna mwenye tetesi yoyote?? au lile tangazo la kazi ilikuwa sikukuu ya wajinga??
M mundu m Senior Member Joined Jun 11, 2015 Posts 119 Reaction score 18 Aug 26, 2015 #2 nibora ukaangalia michakato mingine hawa tbs niwasumbufu sana hawana tofauti na TRA
C CHIEF JJ JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 1,075 Reaction score 357 Aug 26, 2015 #3 mmhh.bado unawasubili tu hao fanya michakato mingine
TO2004 JF-Expert Member Joined Jan 11, 2013 Posts 540 Reaction score 220 Aug 26, 2015 #4 hao jamaa unaweza shangaa ukaitwa kwenye usaili january
R real lyf 2015 Senior Member Joined Aug 13, 2015 Posts 166 Reaction score 27 Aug 26, 2015 #5 Kweli bana. . Mwenye update atujuze
Ndesalee JF-Expert Member Joined Apr 17, 2014 Posts 1,092 Reaction score 522 Aug 28, 2015 #6 mundu m said: nibora ukaangalia michakato mingine hawa tbs niwasumbufu sana hawana tofauti na TRA Click to expand... TRA na NSSF ni shida. Bora ucheki mishe mingine kuliko kusilikilizia kuitwa kwa usaili ktk hz taasisi..
mundu m said: nibora ukaangalia michakato mingine hawa tbs niwasumbufu sana hawana tofauti na TRA Click to expand... TRA na NSSF ni shida. Bora ucheki mishe mingine kuliko kusilikilizia kuitwa kwa usaili ktk hz taasisi..
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 9,293 Reaction score 12,875 Aug 29, 2015 #7 Ukijiuliza Tbs shangaa ya Sumatra
akili akili JF-Expert Member Joined May 5, 2014 Posts 1,767 Reaction score 1,155 Aug 29, 2015 #8 Kuitwa kwenye usaili inachukua miezi 6, baada ya hapo wanaweka watu wao name mchezo unaishia hapo
F FAFI Member Joined Jun 9, 2015 Posts 36 Reaction score 0 Aug 29, 2015 Thread starter #9 TBS wapumbavu sana na CCM hawapiti mbwai mbwai tu