Onduru Ogy
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,136
- 1,175
Serikali inayoongozwa na akili ndogo..
wanapandisha ushuru..garama za bia zinapanda..wanywaji wanapungua kampuni haigenerate pesa za kutosha..itashindwa kujiendesha..itashindwa kulipa kodi.. serikali itakosa mapato na ukizingatia Mapato makubwa ya serikali yanatokana bia.
Hapa wange hakikisha wanywaji wanakuwa wengi ili kampuni izalishe sana na makusanyo ya kodi yaongezeke...
"Kwanini Nchi yako ni Maskini? Sijui-JAKAYA M. KIKWETE(Rais wa Tz 2005-2015)
wanapandisha ushuru..garama za bia zinapanda..wanywaji wanapungua kampuni haigenerate pesa za kutosha..itashindwa kujiendesha..itashindwa kulipa kodi.. serikali itakosa mapato na ukizingatia Mapato makubwa ya serikali yanatokana bia.
Hapa wange hakikisha wanywaji wanakuwa wengi ili kampuni izalishe sana na makusanyo ya kodi yaongezeke...
"Kwanini Nchi yako ni Maskini? Sijui-JAKAYA M. KIKWETE(Rais wa Tz 2005-2015)