Baada ya usumbufu wa muda mrefu wa kuipata tbc1,sasa ipo live bila chenga.unachotakiwa kufanya ni kuingiza frequeny 3892-v-3072.huna haja ya kuuchekecha ungo wako kama unazinasa chanel zingine kama itv,eatv,startv nk.asante kwa kunielewa
Baada ya usumbufu wa muda mrefu wa kuipata tbc1,sasa ipo live bila chenga.unachotakiwa kufanya ni kuingiza frequeny 3892-v-3072.huna haja ya kuuchekecha ungo wako kama unazinasa chanel zingine kama itv,eatv,startv nk.asante kwa kunielewa
Baada ya usumbufu wa muda mrefu wa kuipata tbc1,sasa ipo live bila chenga.unachotakiwa kufanya ni kuingiza frequeny 3892-v-3072.huna haja ya kuuchekecha ungo wako kama unazinasa chanel zingine kama itv,eatv,startv nk.asante kwa kunielewa
TBC1 waliingia mkataba wa kibeberu wa kurusha katika low frequeny labda wawe wamerekebisha mikataba yao. Kwa hiyo tatizo lilikuwa ni mkataba na siyo mitambo yao.
Ngoja Bunge lianze, wanasepa tena. Hawataki tuone Serikali na wabunge wake wanavyopelekwa mbio na Makamanda na wale waliojifunga mabomu kama akina Filikunjombe!
Baada ya usumbufu wa muda mrefu wa kuipata tbc1,sasa ipo live bila chenga.unachotakiwa kufanya ni kuingiza frequeny 3892-v-3072.huna haja ya kuuchekecha ungo wako kama unazinasa chanel zingine kama itv,eatv,startv nk.asante kwa kunielewa