TBC1 haipatikani tena ukitumia Ungo?

TBC1 haipatikani tena ukitumia Ungo?

Kimetah

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
1,049
Reaction score
189
natumia ungo kupata chanel za tv,but ni wiki ya nne sasa TBC1 siipati,JE apo ulipo mwaipata uki2mia ungo??
Kama waipata ni freq.gani??
 
inapatikana mkuu kwa freq. zilezile na saa hii wana kipindi cha watoto na American Garden. Cheki ungo huenda umeyumba kidogo. jaribu kuuchekecha. mie pia natumia ungo wa 8 wa wavu made in gereji bubu.
 
natumia ungo kupata chanel za tv,but ni wiki ya nne sasa TBC1 siipati,JE apo ulipo mwaipata uki2mia ungo??
Kama waipata ni freq.gani??
Hata mimi nna zaidi ya mwezi siipati. Nimejaribu kuuliza kwa marafiki zangu kadhaa nao wameniambia hawaipati pia.

Bahati nzuri sina nachopoteza.
 
Hiyo kitu mahali pengi kwa kutumia ungo hawapati wala sio ungo kuyumba.Ni udhaifu wa mitambo ya kurushia mawimbi
 
inapatikana mkuu kwa freq. zilezile na saa hii wana kipindi cha watoto na American Garden. Cheki ungo huenda umeyumba kidogo. jaribu kuuchekecha. mie pia natumia ungo wa 8 wa wavu made in gereji bubu.
Yan si mimi 2 ni wilaya ya rombo ha2pati
 
Hiyo kitu mahali pengi kwa kutumia ungo hawapati wala sio ungo kuyumba.Ni udhaifu wa mitambo ya kurushia mawimbi
yah inawezekana ni mitambo yao kama inasumbua kwingine..mana isije ikawa wamejitoa FREE 2 AIR 2kaanza kutafutana
 
Habari yafo mmeku....
Shicha mbe

Siyo Rombo tu, hata sie tuliopakana nao hatuwapati hao wazembe.
tanx nimepata uhakika,kweli JF ni suluhu ya matatiso,na kale kabunge kanakosema JF ifungiwe afungwe yeye:crutch:
 
Mimi niko Tegeta lakini siipati kabisa TBC1 kwenye dish la futi 6 kama mwezi hivi. Lakini sijutii kwa kuwa sina ninachopoteza
 
inawezekana ni maeneo. awali wakati wa uwasilishaji wa budget ya wizara ya nishat ilitoweka kabisa hadi nilipochekecha ungo ikawa nacheza kati ya kuipata tbc na channel ten - hatimaye nikazipata zote. saa hii yupo mariam wa migomba na vitu vyake vya pwani. nipo nyanda za juu kusini
 
Hata mie nina mwezi sasa siipati,ila juzi alhamisi ilirudi asubuhi kwa muda wa saa 1 na kupotea tena.
 
natumia ungo kupata chanel za tv,but ni wiki ya nne sasa TBC1 siipati,JE apo ulipo mwaipata uki2mia ungo??
Kama waipata ni freq.gani??
mimi nipo Botswana naipata vizuri kila siku
 
Hata mie nina mwezi sasa siipati,ila juzi alhamisi ilirudi asubuhi kwa muda wa saa 1 na kupotea tena.
Kweli kabisa mkuu. Juzi asubuhi ilibeep kwa muda then ikasepa mazima.

Uzuri ni kwamba sijutii kuikosa.
 
Yan si mimi 2 ni wilaya ya rombo ha2pati

Mkoa wa Mtwara na wilaya zake zote;Newala, Tandahimba, Masasi,Nanyumbu na Mtwara vijijini hakuna kitu kbs tunachoambulia ni NO SIGNAL!! wadau wanadai eti hawa tbc wameshusha signal kulazmisha watu wanunue hvo ving'amuzi vyao na wamejisahau kuw hvo ving'amuzi vyao vinafanya kazi tu kwenye mikoa michache ambako mitambo ya digital imewashwa. Ila kwa vile bunge linaisha poa tu.
 
Mkoa wa Mtwara na wilaya zake zote;Newala, Tandahimba, Masasi,Nanyumbu na Mtwara vijijini hakuna kitu kbs tunachoambulia ni NO SIGNAL!! wadau wanadai eti hawa tbc wameshusha signal kulazmisha watu wanunue hvo ving'amuzi vyao na wamejisahau kuw hvo ving'amuzi vyao vinafanya kazi tu kwenye mikoa michache ambako mitambo ya digital imewashwa. Ila kwa vile bunge linaisha poa tu.
ndo nimeamini awa tbc wanafanya kazi ya kuficha mambo ya kuiumbua serikali afu wanasingizia mitambo niyazamani,wakati si kweli bali wameambiwa washushe signa ili watu wachache waone madudu yanayotokea bungeni ili co tabu 2tafaham 2 ayo madudu,,,,,,
 
Mimi niko Tegeta lakini siipati kabisa TBC1 kwenye dish la futi 6 kama mwezi hivi. Lakini sijutii kwa kuwa sina ninachopoteza

Wachilia mbali vipindi vya Bunge TBC haina faida yoyote...Good for nothing channel..
 
Huku moro nami siwapati tangu wapotee kabla ya vurugu za Mtwara.
 
Back
Top Bottom