Wale jamaa wanaitwa "UKULIMA WA KISASA" yaani Serikali inayotumia ma Bilioni kwenye kampeni inashindwa kulipia 30 Milioni tu??? Nasikia hao jamaa ndioo wanaotengeneza vijarida, kalenda na vipeperushi vyote vya masuala ya Kilimo lakini hawana fungu la kulipia pango..ni fedheha kubwa sana!!..TBC wasingeonyesha hilo ni aibu ya Taifa, NHC ni ya Taifa na hao WIZARA YA KILIMO ni SERIKALI...TBC ndo haswaaa kwa kulinda aibu ya Serika;li yao wapo mbele. Hpo mfuatilie mtasikia tu mtu lazima atang'olewa ofisini kwa Uzembe wa makusudi hata kama bajeti haikuwepo watamwambia "kwa nini hukuleta taarifa unadaiwa fedha kidogo hizo mpaka tuna hadhirika??" Magamba kwa unafiki si mnawajua??.