HGYTXK
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 194
- 70
ITV wametuonyesha jinsi wizara nyeti ya serikali yetu ikifukuzwa na kutolewa nje ya ofisi walizopanga toka kwa NHC kwa kushindwa kulipa pango la mil 30,cha kushangaza television yetu ya taifa inayoendeshwa kwa kodi zetu haikuona habari hii kuwa ni ya umuhimu kwa taifa.ACHENI KUFICHA UOZO NYIE.