Hawa jamaa yaani ukitaka kuona uchovu wao wafuatilie kwa siku moja tuu yaani toka asubuhi mpaka jioni uone makosa ya kuifundi na vyenginevyo
mi huwa nina tendecy ya kuangalia hqbari asubuhi na jioni
Nikianza na jambo tanzania - makosa nje nje mpaka najiuliza hivi wana producer kweli
Ukija kwenye taarifa za habari nako ni balaa tuu
kwa mtazamo wangu sijui kama wataweza ku-compete na wengine
Alafu niulize hivi hizi tv za tanzania wana nini na dark colours?? Yaani hizi news room zao hazina mvuto kwa kweli... Marangi mabaya yaani, hwai...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.