Redio TBC FM na TBC Taifa zinakata matangazo kila mara umeme ukikata kwa SINGIDA hivi niwaulize wana SINGIDA hao TBC WENU hawana majenereta mubadala? chakushangaza ni radio ya serikari, hivi kodi zenu zinafanya kazi gani?
Redio TBC FM na TBC Taifa zinakata matangazo kila mara umeme ukikata kwa SINGIDA hivi niwaulize wana SINGIDA hao TBC WENU hawana majenereta mubadala? chakushangaza ni radio ya serikari, hivi kodi zenu zinafanya kazi gani?
Singida inabidi mujivue sumu yenu haiwezekan kodi mnalipa halafu matangazo ya redio mnakatiwa ovyo ovyo na TBC ikifika 2015 mnanunuliwa na kanga za DEWJI wenu na kuambiwa mmejengewa kituo cha TBC halafu matangazo yake hafifu.