Tbc:- only in mafinga

upuuzi mtupu tatizo kanda hiyo ya Iringa-mbeya rukwa-kigoma-shinyanga-mwanza ni mawazo ya uchawi tu......ndo maana waafrika hatuendelei. Mbona hizi stori kama za mama rwakatare sijawahi kuzisikia ulaya na marekani???? Au china na japan?????
hapa hamna great sinka kabisaaaaaaaaaa!sitakomment chochote..:D
 
Walugaluga, acheni ushamba !!
ing'aani e idsi homegir....!NALAMU SANA
......hinu hingi isho........! maluwe luwe!
....hahahaha!
hommie avata uyiweenee?....utudaho tula lol!

........ ....mwana simvunge yula khaaaa!....nilishakomaaga naye on that, kawa mkali sana!
hehehe!NDIIHOOOUUCHU UUNEE!.....
Lwi ndauli ulukani 'ulo?
yaani hommie...!
utuwene utudakho tula tulimwe avata ya binti maringo...?
 
upuuzi mtupu tatizo kanda hiyo ya Iringa-mbeya rukwa-kigoma-shinyanga-mwanza ni mawazo ya uchawi tu......ndo maana waafrika hatuendelei. Mbona hizi stori kama za mama rwakatare sijawahi kuzisikia ulaya na marekani???? Au china na japan?????

Mwache Mungu aitwe Mungu. Tumshukuru Mungu kwa maajabu hayo, kuna kitu anataka tujifunze na kijana naye alione kaburi lake anamoambiwa mwili wake umelala. Ubishi mwingine ni wa kibinadamu na upo siku zote. Wajerumani kama ni uchawi hawakamatiki lakini je, ni masikini?

Tusitumie reference dhaifu kujifunza majibu makubwa, Rakatare anaombea watu kama wazungu wafanyavyo, hafufui wala kuponya ila Mungu ndiye anaweza yote. Mioyo migumu kama chuma, Nebukadneza na Farao viliwagharimu sana. Unakumbuka wakati fulani mfalme alilazimika kuuliza na

Leka
 
....pedee twe vayago twiaprreciate hela!....kama tudaho twakho kweli basi hongera!...tunofu sana yani.!hahahahah


eeh kaka kamwene!...Twaluhunji!....pe nye mbona haya madaho yangu!...ale kaka yangu!.
 
UMEAMKA HUH!!! na shemeji yako OPP yupo kuleeeeeeeeee anacheza 'tule tule tumbakishie baba....' kajiunge naye huko


hahahaha shosti ndiyo nimamka nakwambia ila choka mbaya sana...jana nilijidai mjanja nikaenda gym nikaanza kulift zile dumbbell 30 pounds each!....hapa nilipo hoi!......ila it's all good shosti...nimemuona OPP na mchedho wa baba na mama sijui amekumbuka nini?...usikute alikuwa anapenda kuwa baba kila wakati...apate kuvuta hahahaha
 
hahahaha shosti ndiyo nimamka nakwambia ila choka mbaya sana...jana nilijidai mjanja nikaenda gym nikaanza kulift zile dumbbell 30 pounds each!....hapa nilipo hoi!......ila it's all good shosti...nimemuona OPP na mchedho wa baba na mama sijui amekumbuka nini?...usikute alikuwa anapenda kuwa baba kila wakati...apate kuvuta hahahaha

bora umeenda kujinyoosha urudie tena ili misuli izoee!!!!!!!!!!

bora amekuja na hiyo maana tumechoshwa na Jerrry siku tatu the jf is full of Muro. ngoja tucheze kidogo tujirifresh mweeee!!!!!!!!!
 
bora umeenda kujinyoosha urudie tena ili misuli izoee!!!!!!!!!!

bora amekuja na hiyo maana tumechoshwa na Jerrry siku tatu the jf is full of Muro. ngoja tucheze kidogo tujirifresh mweeee!!!!!!!!!


mweeh kumbe na wewe uliona eeh!....kila kona ukiingia jerry muro like he is the saint!....oh well he is corrupt as well.
 
eens muyaa!KUNA MMIGO NALAMU KWELI HAPA!...

........
icon10.gif
icon10.gif
!!!
 
Back
Top Bottom