Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
Habari kutoka kituo cha tv TBC nimeibamba hii usiku wa leo....
sijui ndiyo tuite maajabu/Miujiza ya yesu au mazingaombwe..Kyeruuu!...kijana ickson aliyefariki like kiezi kadhaa iliyopita,Leo emeonekana kijijini kwao mzima wa afya tele na amehojiwa na vyombo vyahabari na anasema kuwa amekuja duniani kumzika baba yake na ndiyo na yeye arudi huko alikokuwa.
Isn't it strange?....watu wameenda kwenye kaburi lake na wamekuta wala halijabomolewa na kuna mtu ametoa ushahidi kuwa gari la Nickson ndiyo lilibeba maiti ya baba yake....inshallah mungu tunusuru nadhani huuu ni mwisho wa dunia unakaribia...i think ile issue ya sodoma na gomora sasa ndiyo wakati wake...how come mtu amekufa alafu anarudi akiwa hai eti kaja kumzika dadiye!.....
Kuna watu wana moyo hata wa kumuhojimiye ningekimbia....(Marathon)
sijui ndiyo tuite maajabu/Miujiza ya yesu au mazingaombwe..Kyeruuu!...kijana ickson aliyefariki like kiezi kadhaa iliyopita,Leo emeonekana kijijini kwao mzima wa afya tele na amehojiwa na vyombo vyahabari na anasema kuwa amekuja duniani kumzika baba yake na ndiyo na yeye arudi huko alikokuwa.
Isn't it strange?....watu wameenda kwenye kaburi lake na wamekuta wala halijabomolewa na kuna mtu ametoa ushahidi kuwa gari la Nickson ndiyo lilibeba maiti ya baba yake....inshallah mungu tunusuru nadhani huuu ni mwisho wa dunia unakaribia...i think ile issue ya sodoma na gomora sasa ndiyo wakati wake...how come mtu amekufa alafu anarudi akiwa hai eti kaja kumzika dadiye!.....
Kuna watu wana moyo hata wa kumuhojimiye ningekimbia....(Marathon)