Tbc niaje wakubwa?

Kubingwa

JF-Expert Member
Apr 23, 2010
505
69
Inasikitisha sana
1.Hawajaonyesha habari ya zito.
2.Kuhusu pingamizi la ubunge kilwa kusini lililotupiliwa mbali na mahakama kuu,wamesema mgombea wa ccm ameshinda wakati wa cuf ndiye aliyeshinda
 
Inasikitisha sana
1.Hawajaonyesha habari ya zito.
2.Kuhusu pingamizi la ubunge kilwa kusini lililotupiliwa mbali na mahakama kuu,wamesema mgombea wa ccm ameshinda wakati wa cuf ndiye aliyeshinda
waoneshe wakati ni pigo kwao?
 
Hv TBC1 bado ipo? Mi nachofahamu alipoondoka Tirdo Mhando aliondoka nayo sasa hv yamebaki makapi tu pale. Huyo mshana hana lolote Magamba na yeye tu.
 
Natamani ili Transformer ingacha majivu tu pale TBC. Kodi zetu zinaliwa bure tu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom