Kwa kwel tbc imepoteza hadhi yake. Nimesikitika sana kuona mjadala wa sheria ya kura ya maoni unapamba moto kwa wabunge mahiri kutoa hoja za msingi kabisa lakini wakasema sauti ktk ukumbi wa bunge imekata na mafundi wanaifanyia kazi
wakati makinda anasimama kuahirisha bunge eti wanasema bila aibu kuwa sauti imerejea na spika akasema naahirisha bunge hadi kesho asubuhi. Dah watanzania sijui lini tutathaminiwa na serikali yetu kwa kodi tunayotoa kuendeshwa tbc lakini wakifanya mambo ili kukidhi matakwa ya watu fulani fulani.
Hofu yangu tumeingia ktk mfumo wa demokrasia ikiwa bado serikali yetu haiko tayari kwa baadhi ya mambo kama yaliyotokea tbc wakati wa mjadala wa jioni ya leo.
wakati makinda anasimama kuahirisha bunge eti wanasema bila aibu kuwa sauti imerejea na spika akasema naahirisha bunge hadi kesho asubuhi. Dah watanzania sijui lini tutathaminiwa na serikali yetu kwa kodi tunayotoa kuendeshwa tbc lakini wakifanya mambo ili kukidhi matakwa ya watu fulani fulani.
Hofu yangu tumeingia ktk mfumo wa demokrasia ikiwa bado serikali yetu haiko tayari kwa baadhi ya mambo kama yaliyotokea tbc wakati wa mjadala wa jioni ya leo.