Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 429
- 61
Nimesoma habari kutoka sources tofauti kuwa TBC1 wanaandaa kipindi maalum cha kuiponda CDM, ikiwa ni pamoja na kutoa siri za viongozi wa CDM,Kwa mtazamo wangu,kabla ya kufanya wanachopanga kufanya wawasiliane na Tendwa awasajili kama chama cha Siasa ndo watakuwa na nafasi pana ya kufanya wanachotaka,bila hivyo,umma wa Watanzania watawangashaa