nyau wawili
Member
- Mar 28, 2011
- 9
- 1
Zikiwa zimebaki takribani wiki mbili kabla ya kuanza michuano mikubwa ya kabumbu duniani.Huku mashabiki wa soka tumekuwa tukifanya maandalizi ya ili kuweza kushuhudia michuano hiyo.Binafsi sina imani sana na televisheni yetu ya taifa kutuonyesha michuano iyo kama wanavyotuahidi.Nina imani miongoni mwetu wanaJF tunaweza kuwa na details kama hii ahadi ya TBC itatimizika.Msaada wenu wadau!!!