Tbc na taarifa ya habari kama documentary

Lukansola

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
5,437
1,597
Hebu niambieni nyie TBC, matangazo yenu ya habari ya saa mbili usiku huwa ni nini hasa, documentary, makala, tahariri, majaribio au nini,

Jana nilikuwa naangalia matangazo hayo ambayo wao huyaita taarifa ya habari, sijui kama nitaweza kueleweka vizuri kwa maelezo ya maandishi, lakini kwa wanaoangalia au walioangalia wanaweza kunielewa bila shaka.

yaani taarifa ya habari haina tofauti na FUTUHI, huu mtindo wenu kama ndo ubunifu basi naombeni niwape honest feedback, hauvitii hata kidogo, tangazeni habari kama kawaida tu na mtaeleweka. halafu pia huu mtindo wa kusoma habari moja kwa kupokezanapokezana naona pia kama unaboa, maana wakati mwingine inapita sekunde kadhaa kukiwa na ukimya tu, mnaonekana kama watu mnaolazimisha fani, yaanio ni kama mtu anayelazimishwa kutabasamu wakati akiwa na majonzi.

Na la mwisho naagiza mtoe majibu hapa, nina hakika mmo humu, nimechoka na mambo ya kutoa maoni halafu yasifanyiwe kazi.

Kwa mfano toka tumkataze George Maratu kuvuuuuuuuuuuuuuuuta sauti yake bado hajaacha.

Asanteni
 
Hebu niambieni nyie TBC, matangazo yenu ya habari ya saa mbili usiku huwa ni nini hasa, documentary, makala, tahariri, majaribio au nini,

Jana nilikuwa naangalia matangazo hayo ambayo wao huyaita taarifa ya habari, sijui kama nitaweza kueleweka vizuri kwa maelezo ya maandishi, lakini kwa wanaoangalia au walioangalia wanaweza kunielewa bila shaka.

yaani taarifa ya habari haina tofauti na FUTUHI, huu mtindo wenu kama ndo ubunifu basi naombeni niwape honest feedback, hauvitii hata kidogo, tangazeni habari kama kawaida tu na mtaeleweka. halafu pia huu mtindo wa kusoma habari moja kwa kupokezanapokezana naona pia kama unaboa, maana wakati mwingine inapita sekunde kadhaa kukiwa na ukimya tu, mnaonekana kama watu mnaolazimisha fani, yaanio ni kama mtu anayelazimishwa kutabasamu wakati akiwa na majonzi.

Na la mwisho naagiza mtoe majibu hapa, nina hakika mmo humu, nimechoka na mambo ya kutoa maoni halafu yasifanyiwe kazi.

Kwa mfano toka tumkataze George Maratu kuvuuuuuuuuuuuuuuuta sauti yake bado hajaacha.

Asanteni

George Maratu yupo tbc? Hawa jamaa kweli wanaboa..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom