Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,457
- 699
Vipi wakuu, hali zenyu? Naomba kujua kama TBC na STAR TV wamebadili frequency au vipi?
Maana ni karibia miezi miwili sasa kwenye dish langu haipatikani.
Au wametolewa kwenye satellite?
Nasubiri jibu wadau, nipo online.
Maana ni karibia miezi miwili sasa kwenye dish langu haipatikani.
Au wametolewa kwenye satellite?
Nasubiri jibu wadau, nipo online.