TBC na STAR TV JAMANI

TBC na STAR TV JAMANI

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,457
Reaction score
699
Vipi wakuu, hali zenyu? Naomba kujua kama TBC na STAR TV wamebadili frequency au vipi?
Maana ni karibia miezi miwili sasa kwenye dish langu haipatikani.
Au wametolewa kwenye satellite?


Nasubiri jibu wadau, nipo online.
 
Naona hawa jamaa wanajipanga labda mana kuna mida znakuja znapotea
 
Tafuteni decoda za Mpeg4 mtafute na fundi ategeshe degree 36E mtazipata kupitia Agape bila chenga mi nna muda mrefu sana nazipata kupitia hapo tangu wamepotea.
 
Vipi wakuu, hali zenyu? Naomba kujua kama TBC na STAR TV wamebadili frequency au vipi?
Maana ni karibia miezi miwili sasa kwenye dish langu haipatikani.
Au wametolewa kwenye satellite?


Nasubiri jibu wadau, nipo online.

kama ilivyo pesa... Nguvu za channel huwa zina-fluctuate... Na nadhani nyoote hapo mnatumia nyungo za futi 6...chukueni futi nane hasa lile la nyavu...kitu signal ni kubwa kuliko na hazikatiki...frequence na symbol rate 6azijabdilika..ni zile zile
 
kama ilivyo pesa... Nguvu za channel huwa zina-fluctuate... Na nadhani nyoote hapo mnatumia nyungo za futi 6...chukueni futi nane hasa lile la nyavu...kitu signal ni kubwa kuliko na hazikatiki...frequence na symbol rate 6azijabdilika..ni zile zile

Ft8 nakubaliana na wewe kaka ila la bati ni bora zaidi kwa signal kliko la wavu kwa utafiti wangu mdogo niliofanya.
 
Ft8 nakubaliana na wewe kaka ila la bati ni bora zaidi kwa signal kliko la wavu kwa utafiti wangu mdogo niliofanya.

ya bati menigne feki, so kitu cha kutu hukikimbii, litaanza kutepeta katika mda mfupi..
 
ya bati menigne feki, so kitu cha kutu hukikimbii, litaanza kutepeta katika mda mfupi..

ni afadhali niwe nalo hilo kuliko kuwa na la wavu. Hata hivyo madish yanayoitwa feki yako mengi zaidi mitaani kuliko original.
 
ni afadhali niwe nalo hilo kuliko kuwa na la wavu. Hata hivyo madish yanayoitwa feki yako mengi zaidi mitaani kuliko original.

Nina dish futi 8 la wavu lilichongeshwa mwaka 2003 mpaka sasa hivi nadunda nalo signal ni burudani sana TBC na Startv zipo mwake, wavu oyeee!!!
 
Nina dish futi 8 la wavu lilichongeshwa mwaka 2003 mpaka sasa hivi nadunda nalo signal ni burudani sana TBC na Startv zipo mwake, wavu oyeee!!!

hata nikipewa bure cchukui na kama nikichukua ntaligawa kwa mwingine. Umeshaona umebebanishwa na lnbs za ku-band? Unajua ni kwa nn? Ukiwa layman katika masuala ya sat tv utaona fahari kuwa na ungo wa wavu. Nyungo hizo zilitengenezwa maalum kwa sehemu za janjwa ambazo upepo mkali ni kawaida. Nikiwekewa ungo wa bati na wavu ntachagua wa bati no mata wat.
 
mimi tatizo hili ninalo kwenye "easy tv" sipati star tv ila TBC inapatikana
 
Tafuteni decoda za Mpeg4 mtafute na fundi ategeshe degree 36E mtazipata kupitia Agape bila chenga mi nna muda mrefu sana nazipata kupitia hapo tangu wamepotea.

twende taratbu,
hata dekoda ynga ya Mpeg 2 itaweza kukamata, na lnb gan hapo itahusika?
ni Chenels gan tapata hapo!
 
Nina dish futi 8 la wavu lilichongeshwa mwaka 2003 mpaka sasa hivi nadunda nalo signal ni burudani sana TBC na Startv zipo mwake, wavu oyeee!!!

Unganisha Lnb ya Ku-band kama utapata signal za kutosha fundi asipokomaa anaweza asizipate kabisa.
 
twende taratbu,
hata dekoda ynga ya Mpeg 2 itaweza kukamata, na lnb gan hapo itahusika?
ni Chenels gan tapata hapo!

Mpeg2 huwezi kamata hata signal haitatoa Lnb ni Ku-band Channel ni Itv,Eatv,startv,Tbc1,K24,Mbc2,ZeeCinema,Setanta,Agape,Cnn,Aljazeera,Coloura,Africa Unitetv.
 
Back
Top Bottom