mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
Yaani nao wanatumia video za youtube tulizostream jana na wao wanaoonesha kwenye habari hivyo hivyo halafu zinascrach. Hovyo sana na aibu kwa taifa hili la Tanzania. Yaani nao wanamtumia Dr Egy.net wanastream kwa very low quality wanatuletea na sisi hii ni aibu.
Kipindi cha 2015 kurudi nyuma TBC ilikuwa kipaumbele kwenye michezo saa hizi ni takataka. Hata utangazaji wao ni hovyo wa mechi za live. Ukiwa huku Mbeya haisikiki. Yaani mimi nikitaka michezo basi Abood FM ndio kiboko yao katika kutangaza.
Azam wananikera kwa sababu wanakaa Kwenye basi lao Dar wanafunga madishi yao halafu wanasema tupo Cairo stadium tunakuletea live. Bora nao wapewe changamoto ili wasitudanganye kama jana. Kama supersport wanarusha ligi ya zambia basi hata sisi tuwape na wao ili tuwachangamshe azam.
Kibongobongo pamoja na mazuri ya azam ila bado sanasana hasa kiutendaji kuna kitu hawako sawa.
TBC Waombe kibaki wauziwe mechi na azam hasa za timu ya taifa.
Ni hayo tu nimechoka hata sielewi.
Kipindi cha 2015 kurudi nyuma TBC ilikuwa kipaumbele kwenye michezo saa hizi ni takataka. Hata utangazaji wao ni hovyo wa mechi za live. Ukiwa huku Mbeya haisikiki. Yaani mimi nikitaka michezo basi Abood FM ndio kiboko yao katika kutangaza.
Azam wananikera kwa sababu wanakaa Kwenye basi lao Dar wanafunga madishi yao halafu wanasema tupo Cairo stadium tunakuletea live. Bora nao wapewe changamoto ili wasitudanganye kama jana. Kama supersport wanarusha ligi ya zambia basi hata sisi tuwape na wao ili tuwachangamshe azam.
Kibongobongo pamoja na mazuri ya azam ila bado sanasana hasa kiutendaji kuna kitu hawako sawa.
TBC Waombe kibaki wauziwe mechi na azam hasa za timu ya taifa.
Ni hayo tu nimechoka hata sielewi.