TBC Mnakera sana!


Wanajiona kuwa wao ni Wana CCM na kusjisahau kuwa wao ni Watanzania.
 
Nina miaka sasa sijawahi kuangalia TBC toka tulipoizika pale jangwani

Nasisitiza tuisusie tbccm waangalie wenyewe tu
 
POLE SANA, Mimi Binafsi siiangalii hata siku moja kwani ni kichefu chefu tosha. Hata hivyo subira yavuta heri ni mwaka na nusu umebaki nchi kuwa mikononi mwa wazawa mambo yote yatarekebishwa.
 
Jamani wengine ni wazalendo wa kweli na kituo chao cha uzalendo ni TBC,hivyo anaposema anachukizwa na hali iliyopo ni kweli ana hoja ya msingi,kituo hiki kinapata pesa kutokana na kodi zetu hivyo vipindi vyake yafaa vive na usawa kwa watanzania wote.
 
"Anayemlipa mpiga zumali ndiye achaguaye nyimbo"
 

Bora umetambua hilo ila umechelewa sana!

Tido D Mhando alijaribu kulifanya Shirika la Utangazaji wakaona ana hatarisha ulaji wao!

FYI TBC ni moja kati ya jumuiya za CCM (yaani kama UVCCM, nk).
Wao nyeusi wanawalazimisha watazamaji waseme nyeupe! HOVYO SANA TBC
 
Clement Mshana ..Mkurugenzi wa TBC ..ni mtu asiyejiamini kama mwana habari ..Daima anategemea kulamba Miguu Ndio kunamweka pale ....,ila Siku atakapo retire au mikataba kwisha sijui ni nani atamkumbuka hata kumuamba Ushauri Kama mwanataaluma...
Hakuna mwenye mawazo tofauti anayeipewa nafasi ..kuanzia wageni hata WATUMISHI ..na ikitokea basi Siku ingine hataalikwaaa...
 
Waache kwanza kutukata kodi...
You are very right.....

Kama TBC wanataka kuendesha kituo chao kama radio Uhuru, wanapaswa kwanza wasitishe kupokea ruzuku toka Hazina kwa ajili ya kuendesha kituo chao, na badala yake watembeze 'bakuli' kwa makada na mashabiki na wapenzi wa magamba ali wakichangie kituo chao chá propaganda cha TBC1.......
 
Ngoja ikukere unaiangalia ya nini?mimi hiyo afadhali nizime tv kulko kuiangalia.
 
Mkuu utajipa shida tu na kujitafutia magonjwa yasiyo ya lazima bure achana nao haraka sana!
 
TBC ilikuwepo,ipo na itakuwepo daima. Naipenda sana tbc...
 
mie mara ya mwisho kuckia rtd ni 2002 ezekiel malongo akitangaza mpira....! what is tbc?
 
Ulitaka kwenye hivyo vipindi vya asubuhi wahojiwe makada wa CHADEMA wasio na staha katika lugha zao? TBC ni chombo cha umma na kinalinda maslahi ya Umma, wengi wanaohojiwa sio tu ni makada wa CCM pia ni viongozi wa serikali. Sioni ubaya hapo!
 
Akiongea katika kipindi cha tuongee asubuhi kinachorushwa na Star tv,mh.Machali amekiponda kituo cha tetevision cha umma cha TBC 1 kuwa kina tabia mbaya ya kualika watu wenye mtizamo wa chama kimoja na hapa alikuwa akimanisha wafuasi wa CCM ndio wanaoalikwa.Mh machali ameongeza kuwa anakatwa kodi kuiendesha TBC na kile ni chomba cha umma.

Wakati huo huo,Machali ameisifu Star tv kwa kualika wageni bila kupendelea upande wowote,ambapo leo amealikwa yeye pamoja na mh.Assupter Mshana kutoka CCM kama wageni kujadili yanayojiri katika bunge la katiba na mada ya leo ikihusu uhakisi wa Tanzania kwenye Hati ya Muungano.

MY TAKE:
TBC kweli wana tabia mbaya.

Kama serikali ya CCM inaonekana kuitumia TBC kwa sababu za kisiasa,je huu si ushahidi wa kimazingira wa serikali ya CCM kutumia vyombo vya dola(polisi) kwa madhumuni hayo hayo?
 
Leo tena TBC walikuwa na Mh
Nahodha na Bi Anna Tibaijuka. Hawasikii na wala hawakomi
 
Hivi hili haliwezi kuleta mkanganyiko hususani wa kimaadili ya vyombo vya habari?...

Maana kwa tafsiri ya haraka ni kuwa Star TV imetumika kuiponda TBC, hata kama Ndg Machali kaeleza ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…