mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
Nilianza kujua uwepo wenu kipindi mnaitwa TVT & RTD na PRT, kwa Kuiga nchi za wenzetu wenye SABC, UBC,KBC nanyi mkawa TBC, japo mnapokea ruzuku ya serikali ila mnafanya mambo si kwa faida ya watanzania mkiona TV nyingine zina program nzuri nyie badala ya kutafuta program nzuri nyie huamua kufanya kitu kiitwacho tukose wote, huwa mna wachukua waendeshaji au wahusika wakipindi hicho baadae wakija hapo kipindi kina kufa au kinapoteza mvuto
MAIGIZO YA KAOLE,kipindi hiki kilikuwa kinaonyeshwa na ITV siku za jumamosi na watu tulikuwa tunafurahi kuwaona waigizaji wetu wa kitanzania ambao walikuwa wanafanya vizuri kwenye Tasnia ya uigizaji maigizo maigizo kama TASWIRA, KIMBUNGA namengine matamu mkafanya hila mkawwaondoa Kaole Wakaja TBC baadae kipindi kikapoteza Mvuto watu wa maana kaole wakajitoe hadi leo hii watazamaji wamepungua kufuatilia maigizo yale.
ZE COMEDY, kipindi hiki kilianza na kilikuwa kinafanya kazi za ki fasihi, kuelimisha, kuburudisha na kuonya na watutulipenda hadi tukawa tunalipia soda baani ili tuangalie kipindi hiki, ikaonekana ITV wanafaidi mkawaleta hapo kwenu zaidi kinachoendelea na Komedi kinajulikana kwani hata mahausigeli siku hizi hawaangalii tena.
LIGI YA UEFA, nakaumbuka kipindi hicho nipo shule ITV na channel ten walikuwa wakionyesha mechi za UEFA kila jummanne na jumatano na tulikuwa tunafurahi baadae mkaingia kuonyesha UEFA, sijui kama bado mnaendelea kuonyesha kwani imebidi watu tutafute njia mbadala ya kuona UEFA baada ya mizinguo yenu.
LIGI YA UINGEREZA.
STAR TV walianza kuonyesha ligi ya Uingereza japo hawana ruzuku ila walikuwa wanajitahidi, baada ya ujio wa TIDO hapo TBC mkatutangazia kuwa Ligi itakuwa inaoneshwa, mlichofanya mkawa mnaonesha vitimu vidogo vidogo mechi kubwa hakuna, sijui kama bado mnaendelea kuonesha kama bado mnaendela hongereni
MANENO HAYO, kipindi hiki kilikuwa kizuri sana kilikuwa kinamuandaa msikilizaji wa Radio Tanzania asikilize taarifa ya habari mpaka sasa hatujui sababu za msingi za kuondoa kipindi kile kizuri.
MAZUNGUMZO BAADA YA HABARI, kilikuwa kipindi kizuri sijui kama bado kipo.
Ninachokiona mbele kipindi cha wosia wa baba nacho mtakiondoa Kwa kweli mpo juu kwa kuua program nzuri na kutuachia ambazo mnafikiri zinawafaa kwa maslahi yenu
MAIGIZO YA KAOLE,kipindi hiki kilikuwa kinaonyeshwa na ITV siku za jumamosi na watu tulikuwa tunafurahi kuwaona waigizaji wetu wa kitanzania ambao walikuwa wanafanya vizuri kwenye Tasnia ya uigizaji maigizo maigizo kama TASWIRA, KIMBUNGA namengine matamu mkafanya hila mkawwaondoa Kaole Wakaja TBC baadae kipindi kikapoteza Mvuto watu wa maana kaole wakajitoe hadi leo hii watazamaji wamepungua kufuatilia maigizo yale.
ZE COMEDY, kipindi hiki kilianza na kilikuwa kinafanya kazi za ki fasihi, kuelimisha, kuburudisha na kuonya na watutulipenda hadi tukawa tunalipia soda baani ili tuangalie kipindi hiki, ikaonekana ITV wanafaidi mkawaleta hapo kwenu zaidi kinachoendelea na Komedi kinajulikana kwani hata mahausigeli siku hizi hawaangalii tena.
LIGI YA UEFA, nakaumbuka kipindi hicho nipo shule ITV na channel ten walikuwa wakionyesha mechi za UEFA kila jummanne na jumatano na tulikuwa tunafurahi baadae mkaingia kuonyesha UEFA, sijui kama bado mnaendelea kuonyesha kwani imebidi watu tutafute njia mbadala ya kuona UEFA baada ya mizinguo yenu.
LIGI YA UINGEREZA.
STAR TV walianza kuonyesha ligi ya Uingereza japo hawana ruzuku ila walikuwa wanajitahidi, baada ya ujio wa TIDO hapo TBC mkatutangazia kuwa Ligi itakuwa inaoneshwa, mlichofanya mkawa mnaonesha vitimu vidogo vidogo mechi kubwa hakuna, sijui kama bado mnaendelea kuonesha kama bado mnaendela hongereni
MANENO HAYO, kipindi hiki kilikuwa kizuri sana kilikuwa kinamuandaa msikilizaji wa Radio Tanzania asikilize taarifa ya habari mpaka sasa hatujui sababu za msingi za kuondoa kipindi kile kizuri.
MAZUNGUMZO BAADA YA HABARI, kilikuwa kipindi kizuri sijui kama bado kipo.
Ninachokiona mbele kipindi cha wosia wa baba nacho mtakiondoa Kwa kweli mpo juu kwa kuua program nzuri na kutuachia ambazo mnafikiri zinawafaa kwa maslahi yenu