TBC wamekata tena matangazo ya fainali ya BONGO STAR SEARCH mida ya saa 7:32 usiku. Hapo awali walichelewa kuanza. Badala ya kuanza saa 3 usiku walianza saa 5 kasoro. Hii TV ya taifa sijui tuifanyeje watanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.