Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kuna mchezo unaendelea kwa kukata matangazo wabunge wa upinzani wanauliza maswali. Ameanza Joshua Nassari hakusikika akafuatiwa na Deo Sanga wa CCM akasikika, akaja Zitto hakusikika akafuata Diana Chiroro wa CCM akasikika, akafuata Conchesta Rwamulaza kuuliza swali la msingi hakusikika lakini majibu ya waziri yakasikika. Akaja Amina Mwidau wa CUF hakusikika lakini majibu ya Mh Kawambwa na swali la nyongeza la Prof Msolwa yakasikika! Akafanyiwa Agripina Buyogera NCCR, akafuatiwa na Bwanausi CCM akasikika.
Nadhani kwa ushaidi huo hapo juu ni dhahiri kuna hujuma!
Mbona TBC inaeleweka tangu kitambo?