TBC imemuita nani hamnazo?

Tunatekeleza ....
 
Ndio wamefikia huko???
Tafakuri naona kilikua ni kipindi maalumu kwa ajili ya bwana Hamnazo.
Mtangazaji alikua anaanza story mbaaali mara wakoloni hivi wakoloni wakafanya vile....mara anakuja kuibukia kwa Jpm jembe shujaa bla bla leo imefikia huku.
 
Mwendazake
 
Ndio wamefikia huko???
Tafakuri naona kilikua ni kipindi maalumu kwa ajili ya bwana Hamnazo.
Mtangazaji alikua anaanza story mbaaali mara wakoloni hivi wakoloni wakafanya vile....mara anakuja kuibukia kwa Jpm jembe shujaa bla bla leo imefikia huku.
Tunapoelekea cjui itakuaje kwa upande wa mama
 
TBC NI NINI?
 
Kuna jambo lenu hapa na TBC linawahusu: johnthebaptist Bia yetu mama D Jane Lowassa Etwege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…