WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Wana Jf kwanza kabisa naomba kukiri wazi kuwa sikuwa vizuri katika somo la hesabu enzi zangu shuleni,lakini namshukuru mungu kwamba hesabu za maisha ya kiafrika naziweza vizuri tu.Kwa miaka mingi sasa nimekuwa nikiangalia Siasa yetu na vyombo vyetu vya habari,ghafla nikaona kichwa changu kina anza kufanya mahesabu ambayo sikuyategemea yaje kwa wakati huu,Hesabu yenyewe ni hii...TBC ni shirika la Umma lakini limekuwa likizipa nafasi zaidi habari za kisiasa za CCM,na kidogo tu kwa vyama vya upinzani hasa CDM!Lakini vyombo vingine vya habari vimekuwa vikijitahidi kutangaza habari kwa usawa na uwazi zaidi,Hebu angalia kwa mfano:TIDO MHANDO + MCHAKATO MAJIMBONI=KUFUKUZWA KAZI GHAFLA...Je!nani awe wa kwanza kunyoosha kidole?Haya tuliache hilo,Hivi leo pale jangwani ilikuwa TBC+CDM? Jibu ni HAPANA,ila ITV+CDM=PEOPLE'S POWER(DEMOCRACY).Bado sifahamu kama CDM ni chama cha umma kwa sababu hakitagazwi na shirika la umma...AMEN.